Weekend yangu imeanza hivyo, anyone around Mwanza?

Weekend yangu imeanza hivyo, anyone around Mwanza?

Sasa mambo ya umri ya nini. Kunyimana bahati
 
Njoo Jembe ni jembe kuanzia saa 2 usiku usije na rafiki zako tupige man to man show mida ya saa 5 kila mtu anaenda kwake
 
bahati hainyimwi, ukiona hivyo hio si yako ndugu
Poa haina nooma. Na mimi nitafikisha huo umri na wakati huo weww utakuwa menopause [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Hebu niambie uko maeneo gani nikaazime kabisa V8 la diwani nikupitie tukale bata mpaka kuku waone wivu
 
E
niko na mood ya kumeet new people leo, anyone around rockcity? tuanze weekend leo kabla sijaondoka jmosi
leo nimeamka na kijifuraha changu chonde chonde wana jf msiniharibie heheheheheh
nb:ni kwa watu wazima tu 45+ below vijana tusisumbuane lolest
miungu watu wa jf ushauri pelekeni huko, piteni mbali[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]
Level 8 gold crest...u said above 45 sawa...lkn usiwe na mambo ya kizee..km sawa pm.
 
Mwanza mwanza,tukutane rock bottom for the soul shake down party!
 
Back
Top Bottom