Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,473
- 4,007
Hili ni swali ambalo huwa limo kichwani mwa kina dada wengi wanapo tongozwa hakwambii lakini sisi wanaume lazima tujue lipo kichwani mwao. Wao husema kuwa wao ndio hustahili kupewa pesa na wanaume, sio mwanaume amuombe mwanamke. Hata sijui nani aliyejenga tamaduni hii maana wakati mwingine mwanamke ana pesa zaidi ya mwanaume hapo inakuwaje mwanaume anapo pigika.
Sisi wanaume tunapo tongoza lazima tujue kuwa kuna GHARAMA YA KUMPATA MWANAMKE na GHARAMA ZA KUWA NA HUYO MWANAMKE KUENDELEA KUWA NAYE.
Mwanaume lazima uelewe hili ukitongoza unaweza ukazungushwa mpaka ukakata tamaa ukaishia zako, wengine hawakati tama ila siku moja anakubaliwa halafu anamuuliza mdada HIVI KWANINI ULINITESA SANA NIMEKUPATA KWA SHIDA mdada anamjibu ULIFIKIRI UTAKUJA TU KIURAHISI NA UKUBALIWE?
Tuishie hapo kwa siku ya leo ila tumeelewana. Ila kina dada take your time kuchagua na kumjua nani na awe nani katika maisha yako, pia wanaume, mvuto tu usikufanye ukahitaji uwe naye haraka haraka NO. take your time kumjua zaidi.
NIONGEZE SAUTI AU.
Sisi wanaume tunapo tongoza lazima tujue kuwa kuna GHARAMA YA KUMPATA MWANAMKE na GHARAMA ZA KUWA NA HUYO MWANAMKE KUENDELEA KUWA NAYE.
Mwanaume lazima uelewe hili ukitongoza unaweza ukazungushwa mpaka ukakata tamaa ukaishia zako, wengine hawakati tama ila siku moja anakubaliwa halafu anamuuliza mdada HIVI KWANINI ULINITESA SANA NIMEKUPATA KWA SHIDA mdada anamjibu ULIFIKIRI UTAKUJA TU KIURAHISI NA UKUBALIWE?
Tuishie hapo kwa siku ya leo ila tumeelewana. Ila kina dada take your time kuchagua na kumjua nani na awe nani katika maisha yako, pia wanaume, mvuto tu usikufanye ukahitaji uwe naye haraka haraka NO. take your time kumjua zaidi.
NIONGEZE SAUTI AU.