Mwanaume ukiachana na mwanamke usirudiane tena

Mwanaume ukiachana na mwanamke usirudiane tena

moto wa maji

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2016
Posts
4,174
Reaction score
3,006
Salama....

Ukiwa kwenye mahusiano hakikisha mnashikamana haswa sio juu juu tu ili badae ujute halafu muanze kurudiana.

Mwanaume ukiachana na mwanamke kwa kisa chochote kile usije ukarudiana nae ukidhani mambo yatakua mazuri kumbuka mtakapo achana nae kuna maumivu huwa yanakuwepo makali kwahiyo pindi utakapo rudiana nae utadhurika sana kwani huwa hawaji kwa wema .
Kwahiyo usirudiane nae

Shika hilo kwakunikumbuka Mimi......
 
Salama....

Ukiwa kwenye mahusiano hakikisha mnashikamana haswa sio juu juu tu ili badae ujute halafu muanze kurudiana.

Mwanaume ukiachana na mwanamke kwa kisa chochote kile usije ukarudiana nae ukidhani mambo yatakua mazuri kumbuka mtakapo achana nae kuna maumivu huwa yanakuwepo makali kwahiyo pindi utakapo rudiana nae utadhurika sana kwani huwa hawaji kwa wema .
Kwahiyo usirudiane nae

Shika hilo kwakunikumbuka......
Every case should be decided according to its own merit ..Hakuna formula kwenye mapenzi...Something that's good in the village may not be good in town
 
Back
Top Bottom