Hivi ni kwanini jamani?

Hivi ni kwanini jamani?

intespero

Member
Joined
Aug 14, 2019
Posts
48
Reaction score
28
Mbona wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa sana nmefanya tafit ya maeneo tofaut na kugundua wengi wao wako kimaslai zaid ingawa nilikuwaga mwanzo nasikia tu kwa watu tofauti.unakuta unakutana na mwanamke kweli umempenda baada ya mazungumzo ya hapa na pale baadae anakupigia simu afu ukiangalia ni the same day utaskia baby naomba elfu 50 nashida nayo plz nisaidie bby, nashida na kitu flan au bby ninunulie kitu flan wakat huohuo baharia nawe unataka umpate huyo dem lkn unashangaa as if kama dem anazingua hivi so hapa mwanaume kama hujaJIONGEZA UTAKAUSHWA MPAKA DAMU sasa ukiona hvyo hapo kuna haya makuu matatu..KWANZA:anataka akutumie kimaslahi yake zaid kabla koz mihemko mikubwa ipo kwa me by dat tym na dem anajua akisema hupindui kwa hapa kweli benefit kubwa ipo kwa mwanamke koz mwanaume ukisema tu huna unajua moja kwa moja utampoteza so utajitahd umridhishe dem,PILI:yawezekana dem anakuchukulia kwa jinsi mlivokutana for the first tym na kupeana story za hapa na pale labda ameona kweli pesa ipo na investments, as usual..kama ndio hivi atakuwa mjinga sana koz hapa ndo kwenye fursa na kula na kipofu na MWISHO Mwanamke anakuwa hana mapenzi yakweli na endapo ukamnyima tu pesa au vitu flani utaskia naomba ufute namba yangu na usinitafute tena......vipo vingine ambavyo unaweza ongezea .....ili kuwaweka SAWA wanaume kuhusiana na hawa aina ya mademuuu.

NB:Usipende kuomba pesa halafu wew unachutama na ni wachache san wanaoweza omba na ni kwa emergence maalum ukiachana na hawa ambae yey cku haipit bila kufanya hvo.
 
"Siku za mwisho maasi mengi sana yataongezeka na Watu wengi watakuwa wenye kupenda sana pesa, nafsi zao na upendo wa wengi utapoa"

BIBLE VERSES.
Mbona wanawake wa siku hizi ni pasua kichwa sana nmefanya tafit ya maeneo tofaut na kugundua wengi wao wako kimaslai zaid ingawa nilikuwaga mwanzo nasikia tu kwa watu tofauti.unakuta unakutana na mwanamke kweli umempenda baada ya mazungumzo ya hapa na pale baadae anakupigia simu afu ukiangalia ni the same day utaskia baby naomba elfu 50 nashida nayo plz nisaidie bby, nashida na kitu flan au bby ninunulie kitu flan wakat huohuo baharia nawe unataka umpate huyo dem lkn unashangaa as if kama dem anazingua hivi so hapa mwanaume kama hujaJIONGEZA UTAKAUSHWA MPAKA DAMU sasa ukiona hvyo hapo kuna haya makuu matatu..KWANZA:anataka akutumie kimaslahi yake zaid kabla koz mihemko mikubwa ipo kwa me by dat tym na dem anajua akisema hupindui kwa hapa kweli benefit kubwa ipo kwa mwanamke koz mwanaume ukisema tu huna unajua moja kwa moja utampoteza so utajitahd umridhishe dem,PILI:yawezekana dem anakuchukulia kwa jinsi mlivokutana for the first tym na kupeana story za hapa na pale labda ameona kweli pesa ipo na investments, as usual..kama ndio hivi atakuwa mjinga sana koz hapa ndo kwenye fursa na kula na kipofu na MWISHO Mwanamke anakuwa hana mapenzi yakweli na endapo ukamnyima tu pesa au vitu flani utaskia naomba ufute namba yangu na usinitafute tena......vipo vingine ambavyo unaweza ongezea .....ili kuwaweka SAWA wanaume kuhusiana na hawa aina ya mademuuu.

NB:Usipende kuomba pesa halafu wew unachutama na ni wachache san wanaoweza omba na ni kwa emergence maalum ukiachana na hawa ambae yey cku haipit bila kufanya hvo.
 
Hujaambiwa nyumbani kuna msiba?
Au dada kalazwa hospital?

1.Na ukiambiwa nina mgonjwa hospital basi huyo haponi, kitakachofata ni msiba wa yule mgonjwa!
2. Naomba matumizi ya kujikimu msibani! Hapo msiba uko mkoa wa mbali na mkoa mlipokutania.
3. Naomba nauli nirudi home, msiba umeisha.

Hapo hujaona hata ndani wala kuonaona toka mlipopeana namba! Usipojiongeza imekula kwako!
 
Kwa akili hizo za kuandika kama poyoyo utaendelea kuchunwa mpaka akili ikukae sawa!
 
Kwa akili hizo za kuandika kama poyoyo utaendelea kuchunwa mpaka akili ikukae sawa!
Sawa sawa mkubwa wa mapoyoyo ila ujifunze kusoma na hata ka hujuwi unauliza pimbi we...Mbaya zaid huwa nawaangalia kwa jicho la tatu nikiona hzo mambo we ulishasikia baharia kaumizwa soma thread vizur uelewee ....mfyyyuuuu
 
Sawa sawa mkubwa wa mapoyoyo ila ujifunze kusoma na hata ka hujuwi unauliza pimbi we...
Ila umetupa taabu kusoma yaani kukuelewa inabidi utumie nguvu nyingi.
Anyway pole sana kwa yaliyokukuta ila ndo hivyo kuombaomba hatuachi labda yesu arudi
 
Yeah sure mkuu koz hzo huduma zote anazitaka halaf anachutama mchezo hatoi ...Alaaaa
Note:Baharia hachunwi ovyo na anahonga kwenye maslahi.
 
Yeah sure mkuu koz hzo huduma zote anazitaka halaf anachutama mchezo hatoi ...Alaaaa
Note:Baharia hachunwi ovyo na anahonga kwenye maslahi.
 
Yeah sure mkuu koz hzo huduma zote anazitaka halaf anachutama mchezo hatoi ...Alaaaa
Note:Baharia hachunwi ovyo na anahonga kwenye maslahi.
Baharia wa kike haliwi hovyo, anatoa penye maslahi. Poleni vijana mnaotafuta wake, kazi mnayo kizazi hiki.
 
Back
Top Bottom