red fox
Senior Member
- Jan 5, 2017
- 127
- 342
Nlipopata kazi kwa mara ya kwanza na kuanza kuishi jijini Dar Es Salaam kuna changamoto nlikumbana nazo kama kijana kijogoo, nlianza kujirusha maeneo ya kinondoni hasa masai club ambayo siku izi ni meridian club, nlikutana na binti mmoja pale anaitwa Caren (alinidanganya jina) tamaa zangu za chini zilisema ni binti mzuri sana natakiwa kuish nae geto awe dem ang kabisa, nkaanza kumpigia misele namtongoza ile kishua kabisa, kuna washkaji zangu wakanistukia mishe zangu za pimbi, nkapewa file la demu kumbe anadanga tu, af me natongoza maneno kibao na bier zangu anakula nampa na pesa, ndo nkagundua madem wa kinondon hawawi permanent wala hawatongizwi, unakata pochi tu unapewa papuchi...
Naomba tukutane apa wote mlofanyiwa janja janja na hawa madada maninja tuongee uloyashuhudia ikiwapo umafia wao ili tabia zao mbovu zisijirudie
Naomba tukutane apa wote mlofanyiwa janja janja na hawa madada maninja tuongee uloyashuhudia ikiwapo umafia wao ili tabia zao mbovu zisijirudie