Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Nilikutana na huyu kijana kazini. Yeye alipata direct employment baada ya form six. Katika maongezi alinitaarifu kuwa ana mtoto na mama wa mtoto yuko chuoni kwa sasa hivi yeye ni baba na mama na...
48 Reactions
154 Replies
12K Views
Inasemekana watoto wadogo hupenda sana kulia usiku....ili kuzuia wazazi wao wasifanye tendo la ndoa...hii ni kutokana na kauli ya mwanasaikolojia aliyeishia darasa la saba.Je kuna ukweli wowote?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hivi ndivyo demu / ke anavyo liwa?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mboni ulishaniteka, mimi ni mateka wako Mboni wajua kupika, mapishi yote ya jiko Mboni mimi naridhika, Na hayo mahaba yako Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia Mboni nataka kuramba, nipe...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Huyu bibie alitoka zile familia za ushuani miaka, ile miaka yetu sisi bibie huyu alimudu kulizungusha yai Form Four. Kabla wazazi hawajaweza kulitafakari hili vizuri wakagundua bibie ana mimba...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Sometimes ngumu sana kumuelewesha mwanamke jambo flani, iwe kuchelewa kurudi, sms/calls za wanawake and the like Wanawake mjifunze kuwaamini waume zenu. Kuna wakati Mme wako anaweza kuchelewa...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
KUWA mwanaume si kigezo cha msingi cha kuwa na mke. Mke anahitaji mwanaume makini, mwenye kujitambua na kujua kutekeleza wajibu wake. Mtu mwenye sifa hizi hawezi kuwa mwanaume yeyote. Ni lazima...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Habarini wadau, Ijumaa mida ya jioni ya saa12 nimekatiza maeneo ya maili moja stendi kuna kabinti kakaliii kamevaa skin Jeansi ya Blue mpauko na T-shirt ya kumbana kuonyesha shepu yake vema begi...
7 Reactions
51 Replies
5K Views
Sijawai ona wanawake wa ovyo kama Tanzania, kila nayempata naona mzigo halafu akili kichwani akuna kabisa. Nilipanga kutokutongoza mtanzania, lakini nikabadilisha mawazo baada ya kumaiza Chuo...
6 Reactions
104 Replies
13K Views
Salaam wana jf, natumai wote mnafurahia mapumziko ya mwisho wa wiki. Amani na faraja iendelee kua miongoni mwenu. Moja kwa moja kwenye mada, nimegundua mwanaume ni kiumbe muungwana sana. Pongezi...
5 Reactions
25 Replies
4K Views
HABARI wakuu Naomba aliye SERIOUSNESS ani PM umri wangu below 31 yrs Awe above 23 yrs I'm God fearing Niko MWANZA NYAMAGANA Nashukuru
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu habari za leo? Kama kichwa cha habari inajieleza nahitaji mchumba wa kuoa msichana Elimu yangu degree,miaka 39, kwa sasa naishi nje ya nchi kwa mkataba ya miaka mitatu,sina...
2 Reactions
71 Replies
10K Views
Imeandikwa na Jones John, mdau wa #Malezi Nasikitika sikupata fursa ya kuchangia mjadala wa viboko wakati mada ingali hai na ya moto kufuatia tukio la wanafunzi wa shule ye Kiwanja, Mbeya. Pili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uzi tayar Sent using Jamii Forums mobile app
5 Reactions
126 Replies
15K Views
Duniani wawili wawili. Kati ya vilivyoumbwa vya kufanana basi Brother Gambo na mke wake wanafanana. Big up kaka nahisi hata genes zenu na mambo mengine mnaendana pia.
13 Reactions
77 Replies
13K Views
Jamani mnisamehe tu but kwakweli mwenzenu nafurahia sana art ya kutongoza. Unakutana na msichana mrembo, educated, boss katika taasisi flani anakubalika na kuogopwa. Unamtazama machoni unaona...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Habari wakuu, Huyu msichana nilianza kuvutiwa nae mwaka 2015 nilikuja kumweleza ukweli wa hisia zangu juu ya kumpenda mwaka 2016 na majibu yake daima hayakuniridhisha sana japo kwa upande wake...
1 Reactions
122 Replies
13K Views
Najaribu kutafuta tafsiri ya hawa wanawake, yaani unampigia sim mda ambao anatakiwa muonane mupashe kiporo moto gafla sim haipokelewi unasubiri labla unajipa moyo atakuwa yupo mbali na sim ile...
9 Reactions
29 Replies
3K Views
Habar zenu wana jukwaa la wapenda nao. Leo napenda kusikia kutoka kwenu kuhusu Matukio au tukio La kujinga ambalo umewai kufanya au kufanyiwa na mpenzi wako. Mm Nakumbuka nimewai kuombwa denda /...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…