Shairi: mahabuba wangu

Shairi: mahabuba wangu

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,962
Mboni ulishaniteka, mimi ni mateka wako
Mboni wajua kupika, mapishi yote ya jiko
Mboni mimi naridhika, Na hayo mahaba yako
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni nataka kuramba, nipe usinibanie
Mboni wewe wanibamba, wafanya nijivunie
Mboni unavyojiremba, sitaki nikuvamie
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni kwangu ni mtamu, sema wapi nikurambe
Mboni mimi ni timamu, unanifanya nivimbe
Mboni wewe si haramu, kama pipi nikurambe
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni nikupe mahaba, Ukolee ulegee
Mboni najaza kibaba, kitandani upokee
Mboni tatu siyo haba, Ni goli za kipekee
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni napenda vya mbele, vya nyuma kweli siwezi
Mboni hayo makelele, cha kwanza ni fumanizi
Mboni shika chini mbele, nipande kama mkwezi
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni hizo dodo mbili, mikono yangu ishike
Mboni nifunge la pili, tomasa ili nicheke,
Mboni wanibana mwili, nimekufanya ufike
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia
 
Mambo ya Mboni hayo yamekuchanganya. Chezea Tanga weee. Mboniiiii Njooo huku umemchanganya mtu hapa jamvini.
 
Mboni ulishaniteka, mimi ni mateka wako
Mboni wajua kupika, mapishi yote ya jiko
Mboni mimi naridhika, Na hayo mahaba yako
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni nataka kulamba, nipe usinibanie
Mboni wewe wanibamba, wafanya nijivunie
Mboni unavyojiremba, sitaki nikuvamie
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni kwangu ni mtamu, sema wapi nikurambe
Mboni mimi ni timamu, unanifanya nivimbe
Mboni wewe si haramu, kama pipi nikurambe
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni nikupe mahaba, Ukolee ulegee
Mboni najaza kibaba, kitandani upokee
Mboni tatu siyo haba, Ni goli za kipekee
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni napenda vya mbele, vya nyuma kweli siwezi
Mboni hayo makelele, cha kwanza ni fumanizi
Mboni shika chini mbele, nipande kama mkwezi
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Mboni hizo dodo mbili, mikono yangu ishike
Mboni nifunge la pili, tomasa ili nicheke,
Mboni wanibana mwili, nimekufanya ufike
Wewe mahabuba wangu, Shairi nakuimbia

Wazibua chemba hili shairi haliwahusu, andaaeni la kwenu!!
 
Mboni nakufikiria, kwa utamu ulonipa
Mboni nakuingizia, wala sileti kwa pupa
Mboni hapo simamia, ukila mi nitalipa
Wewe mahabuba wangu, iviringishe kwa ndani
 
Back
Top Bottom