Jamani mnisamehe tu but kwakweli mwenzenu nafurahia sana art ya kutongoza. Unakutana na msichana mrembo, educated, boss katika taasisi flani anakubalika na kuogopwa. Unamtazama machoni unaona ngoja nimcheck ugumu wake.
Unaanza mchakato wa kumnasa, unaanza kuwa karibu, kama ni mlokole nawe unaanza kwenda kanisani na kukemea mapepo ya ngono. Kama ni classy unaanza kuvaa na kujiweka kwenye level yake ikiwemo kujiweka fit financially etc. Unapata datenaye- unaendanae mahala unagharamia na kujitoa kisawasawa. Mtoto wa watu anaingia kingi, from ugumu anaanza kukutrust.
Ikifika hatua ya mwisho kwa sisi wenye hii game ni mwiko kula ile kitu kwani hutaki kumtenda. Akilazimisha basi unaweza kumkiss, unaendanae mahala mnafanya yote isipokuwa kula lile tunda. unatoa udhuru kwani utakiuka miiko ya hii game. Mtoto wa watu anadevolt zaidi, anatamani kale kamchezo, anakupigia kila siku. Unamuita room analala but unajifanya mgonjwa anakuamini na anaishia kuguswa hadi Juice inamwagika kwa kumsaidia yaani ni raha sana Ukiniona na msichana wako jua wala simli just game tu.
Nimejaribu kuacha lakini nashindwa, naamini hata pele huwa anachukua mpira anapiga danadana kisha anauachia. Ni raha lakini inaumiza nafsi za wenzetu. Nawaomba wanaume wenzangu tujiuzulu hii kitu najua mnasema hili game halitaki hasira.
Unaanza mchakato wa kumnasa, unaanza kuwa karibu, kama ni mlokole nawe unaanza kwenda kanisani na kukemea mapepo ya ngono. Kama ni classy unaanza kuvaa na kujiweka kwenye level yake ikiwemo kujiweka fit financially etc. Unapata datenaye- unaendanae mahala unagharamia na kujitoa kisawasawa. Mtoto wa watu anaingia kingi, from ugumu anaanza kukutrust.
Ikifika hatua ya mwisho kwa sisi wenye hii game ni mwiko kula ile kitu kwani hutaki kumtenda. Akilazimisha basi unaweza kumkiss, unaendanae mahala mnafanya yote isipokuwa kula lile tunda. unatoa udhuru kwani utakiuka miiko ya hii game. Mtoto wa watu anadevolt zaidi, anatamani kale kamchezo, anakupigia kila siku. Unamuita room analala but unajifanya mgonjwa anakuamini na anaishia kuguswa hadi Juice inamwagika kwa kumsaidia yaani ni raha sana Ukiniona na msichana wako jua wala simli just game tu.
Nimejaribu kuacha lakini nashindwa, naamini hata pele huwa anachukua mpira anapiga danadana kisha anauachia. Ni raha lakini inaumiza nafsi za wenzetu. Nawaomba wanaume wenzangu tujiuzulu hii kitu najua mnasema hili game halitaki hasira.