Watoto kulia usiku

Watoto kulia usiku

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
38,074
Reaction score
57,729
Inasemekana watoto wadogo hupenda sana kulia usiku....ili kuzuia wazazi wao wasifanye tendo la ndoa...hii ni kutokana na kauli ya mwanasaikolojia aliyeishia darasa la saba.Je kuna ukweli wowote?
 
Jaribu kufanya utafiti wako na wewe Uje na facts zako hapa pengne kuna kaukweli ndani yake japo kua hata watoto wa single mama huwa wanalia usiku
 
Jaribu kufanya utafiti wako na wewe Uje na facts zako hapa pengne kuna kaukweli ndani yake japo kua hata watoto wa single mama huwa wanalia usiku
ha ha ha ha ha
 
Vingi vya kumfanya mtoto alie usiku, kabla hujafata ushauri wa huyo mwanasaikolijia hakikisha kabla ya kulala mtoto alishiba na anapolala hakuna wadudu (kunguni)
 
Vingi vya kumfanya mtoto alie usiku, kabla hujafata ushauri wa huyo mwanasaikolijia hakikisha kabla ya kulala mtoto alishiba na anapolala hakuna wadudu (kunguni)
ha ha ha ha hata ufanyeje,huwa wanalia usiku...wengine wanasema labda kwa sababu ya chango la uzazi..lakini mimi sijui
 
ha ha ha ha mkuu unafikiri kwa nini hupenda kulia usiku,hasa kuanzia saa sita na kuendelea
Watoto wadogo hawawezi kujua upi mchana upi usiku...

Hata hivyo kitabibu zipo sababu kadha wa kadha, kubwa tatu ni njaa (usually little ones wanahitajika kula kila baada ya masaa 2), maybe anahitaji diaper change na mwisho ni discomforts sana sana kujaa gas tumboni kwa kuwa mtoto hajacheua, wazazi wengi vile huchoka usiku hupuuzia kumcheulisha mtoto anaponyonya.
 
Watoto wanalia usiku kwanza wengi hua chini ya miezi 3 ambao huwa wanashindwa kutofautisha usiku na mchana ndio mana wengi hulala mchana na usiku kuwa macho.
Sababu nyingine ni kutoshiba au hata kutaka attention kama kubebwa au kuwa cuddled.
Baada ya 3 mnths wanapunguzaga matatizo na kulia
 
Watoto wadogo hawawezi kujua upi mchana upi usiku...

Hata hivyo kitabibu zipo sababu kadha wa kadha, kubwa tatu ni njaa (usually little ones wanahitajika kula kila baada ya masaa 2), maybe anahitaji diaper change na mwisho ni discomforts sana sana kujaa gas tumboni kwa kuwa mtoto hajacheua, wazazi wengi vile huchoka usiku hupuuzia kumcheulisha mtoto anaponyonya.
Inawezekana ikawa sababu ya msingi
 
Watoto wanalia usiku kwanza wengi hua chini ya miezi 3 ambao huwa wanashindwa kutofautisha usiku na mchana ndio mana wengi hulala mchana na usiku kuwa macho.
Sababu nyingine ni kutoshiba au hata kutaka attention kama kubebwa au kuwa cuddled.
Baada ya 3 mnths wanapunguzaga matatizo na kulia
Ni kweli mkuu,kwa miezi hiyo wengi huwa wanasumbua sana
 
Kuna kaukweli Fulani maana unakuta Uko mwake sana ile mmnaliza kupandishana mzaka unataka kufanya yako Mara aaaa,aaaaa,aaaaa
 
Back
Top Bottom