Msaada: Nifanyeje niwe mbali na huyu msichana?

Msaada: Nifanyeje niwe mbali na huyu msichana?

nashukuru mzima

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2017
Posts
1,011
Reaction score
1,915
Habari wakuu,

Huyu msichana nilianza kuvutiwa nae mwaka 2015 nilikuja kumweleza ukweli wa hisia zangu juu ya kumpenda mwaka 2016 na majibu yake daima hayakuniridhisha sana japo kwa upande wake aliona sababu za msingi.

Kwa kipindi chote baada yapo nimejitahidi kuendelea kumuonyesha upendo wa dhati nikitegemea kuna siku atabadili msimamo wake.

Kiukweli huyu dada nampenda sana sana ila ikafika kipindi nikaona bora life iendelee tu kama Mungu kapanga niwe nae itakuwa.

Wakuu kwanini nakuja hapa..

1.Kuna muda nimejaribu kuwa mbali nae huyu binti lakini bado ameendelea kuhitaji kuwa karibu sana na mimi kuanzia mawasiliano muda wote pia na OUTING

2.Huyu dada nakumbuka nishawahi fanya nae romance mara kibao na mambo mengi kasoro papuchi.

3.Ni mtu ambaye ana wivu mkubwa na mimi na uwa simuelewi hapo.

4.Jambo kubwa linalonifanya nisiendelee kutamani kuwa nae huyu dada naamini kuna mtu anampenda zaidi yangu na huyo mtu ni rafiki yangu pia.

5.Na amekuwa mtu anayelalamika kuwa ananipenda sana na mimi simuamini.

6..amenifanya mtu wa karibu sana kunielezea shida zote nilizona uwezo nazo uwa namsaidia

Wakuu mimi SIMUELEWI NYIE MNAMUELEWAJE?

Jambo kubwa nataka niwe mbali nae je itakuwa sahihi na nitawezaje?
 
Mkuu nadhani badala ya kuhangaika kumuelewa huyo dada hangaika kuijielewa wewe mwenyewe kwanza.

Nini kikubwa kujua kuwa anakuchezea akili yako hapo? Na umeshajua anampenda rafiki yako zaidi kwanini unahangaika sasa kama sio unataka kuchezewa feelings tu na kutumiwa kusababisha hizo OUTINGS na kum keep busy kimasiliano anapokuwa bored?

Wewe endelea kushukuru tu uko mzima inatosha
 
mkuu pamoja na romance zote ukashindwa kumaliza game?
Sasa mlikuwa mnafanya nini kuchezea hisia tu?

Mkuu fanya jambo ambalo utojutia si kuendelea kuumia moyo tu.
Na hilo jambo ndilo linanifanya nisimuelewe ni mtu ambaye anapenda sana kucheza na hisia zangu pindu nikimwambia awe far na mimi uwa anaumia sana
 
Mkuu nadhani badala ya kuhangaika kumuelewa huyo dada hangaika kuijielewa wewe mwenyewe kwanza.

Nini kikubwa kujua kuwa anakuchezea akili yako hapo? Na umeshajua anampenda rafiki yako zaidi kwanini unahangaika sasa kama sio unataka kuchezewa feelings tu na kutumiwa kusababisha hizo OUTINGS na kum keep busy kimasiliano anapokuwa bored?

Wewe endelea kushukuru tu uko mzima inatosha
Mkuu kuna kitu kipya umenipa nitawezaje kuwa far nae...
 
Acha kumfatilia kabisa. Endelea na maisha yako na kama hii ni ngumu tafuta msichana mwingine uwe nae busy utamsahau huyu. Na hata akijua uko na mwingine akijifanya kukwambia ambia maneno yake achana nae na kata mawasiliano nae simple
Mkuu umenisaidia sana nahisi hii itanisaidia
 
Habari wakuu.....

Huyu msichana nilianza kuvutiwa nae mwaka 2015 nilikuja kumweleza ukweli wa hisia zangu juu ya kumpenda mwaka 2016 na majibu yake daima hayakuniridhisha sana japo kwa upande wake aliona sababu za msingi..

Kwa kipindi chote baada yapo nimejitahidi kuendelea kumuonyesha upendo wa dhati nikitegemea kuna siku atabadili msimamo wake...

Kiukweli huyu dada nampenda sana sana ila ikafika kipindi nikaona bora life iendelee tu kama Mungu kapanga niwe nae itakuwa..

Wakuu kwanini nakuja hapa..

1..kuna muda nimejaribu kuwa mbali nae huyu binti LAKINI BADO ameendelea kuhitaji kuwa karibu sana na mimi kuanzia mawasiliano muda wote pia na OUTING

2..huyu dada nakumbuka nishawahi fanya nae romance mara kibao na mambo mengi kasoro papuchi...

3..ni mtu ambaye ana wivu mkubwa na mimi na uwa simuelewi hapo..

4..jambo kubwa linalonifanya nisiendelee kutamani kuwa nae huyu dada naamini kuna mtu anampenda zaidi yangu na huyo mtu ni rafiki yangu pia..

5..na amekuwa mtu anayelalamika kuwa ananipenda sana na mimk simuamini

Wakuu mimi SIMUELEWI NYIE MNAMUELEWAJE??

Jambo kubwa nataka niwe mbali nae je itakuwa sahihi na nitawezaje???
Mimi binafsi sikuelewi bado ila najua tatizo si huyo Dada, ila tatizo ni lako yaani umaliziaji. Soma namba 2 ya maelezo yako. Ulitaka huyo Dada akupe papuchi mkononi?!!
Kitendo cha kukuonea wivu ni ishara kuwa hataki ku share na mtu mwingine hivyo kazi ni kwako tu. Malizia huo mkia...
 
Kwani huwa unamuhonga nini?

Mana hicho huwa kinafanya hata kama mtu hana mapenzi na wewe awe ni mwenye kukutafuta mara kwa mara ili mradi anapata chochote kitu.

Pia upande mwingine nashangaa umeshasema ni msichana umpendae huenda naye anakupenda na ndio maana anafanya vyote hivyo kwa sababu anakupenda ila we mpendwaji ndio huna muelekeo.
 
Mimi binafsi sikuelewi bado ila najua tatizo si huyo Dada, ila tatizo ni lako yaani umaliziaji. Soma namba 2 ya maelezo yako. Ulitaka huyo Dada akupe papuchi mkononi?!!
Kitendo cha kukuonea wivu ni ishara kuwa hataki ku share na mtu mwingine hivyo kazi ni kwako tu. Malizia huo mkia...
Haikuwa rahisi kwa upande alikuwa ameshikilia msimamo wa kutonipatia hiyo kitu...na niliyaheshimu mawazo yake
 
Kwani huwa unamuhonga nini?

Mana hicho huwa kinafanya hata kama mtu hana mapenzi na wewe awe ni mwenye kukutafuta mara kwa mara ili mradi anapata chochote kitu.

Pia upande mwingine nashangaa umeshasema ni msichana umpendae huenda naye anakupenda na ndio maana anafanya vyote hivyo kwa sababu anakupenda ila we mpendwaji ndio huna muelekeo.
Ofcoz nampenda ila nahitaji kusurrender kww kumpenda yeye...
 
Back
Top Bottom