Changes boy
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 552
- 362
Sijawai ona wanawake wa ovyo kama Tanzania, kila nayempata naona mzigo halafu akili kichwani akuna kabisa. Nilipanga kutokutongoza mtanzania, lakini nikabadilisha mawazo baada ya kumaiza Chuo maana life lilikua halieleweki yani sina malengo maalumu lakini sasa nimeona ni bora ni tokee tuwanachuo napiga na kusepa sitaki mausiano ya kudumu maana Dada zetu wananjaa hata ukimnyima 10k ananuna wiki nzima halafu anayokazi ya kumuingizia kipato kwanza karaha wanataka uwatoe out kila weekend halafu hawana ndoto za mbeleni. Nimeona ni bora nisake mkwanja nioe mzungu au nioe nje ya Boda uko kuvuka mipaka.
Wanawake wa Tanzania hawajui mapenzi wanataka tuwe wazazi wao, hawajui maana ya ndoa.
Unakuta mwanamke kwao ni choka mbaya halafu anamdisi men mwenye uwezo kisa hana gari halafu bado anawaganda wanaume kama vile ni yatima.
Ni hayo ukimind mind makavu live . Zero IQ Mshana Jr waelimisheni Dada zenu kama Demiss
Note: Naongelea waliozaliwa kuanzia 1985
Wanawake wa Tanzania hawajui mapenzi wanataka tuwe wazazi wao, hawajui maana ya ndoa.
Unakuta mwanamke kwao ni choka mbaya halafu anamdisi men mwenye uwezo kisa hana gari halafu bado anawaganda wanaume kama vile ni yatima.
Ni hayo ukimind mind makavu live . Zero IQ Mshana Jr waelimisheni Dada zenu kama Demiss
Note: Naongelea waliozaliwa kuanzia 1985