Huyu jamaa mke wake alikuwa masomoni na alikuwa ameachiwa watoto watatu awalee, wawili kati yao ni chini ya miaka 5. Katika pita pita zake alikutana na dada mrembo, katika kumtongoza aliona...
NA ROMANA MALLYA
Msichana yatima, mkazi wa mkoani Manyara, amefungiwa kwenye danguro kwa zaidi ya miaka 10 akinyanyaswa kingono, kuteswa na kuambukizwa Virusi Vya Ukimwi (VVU).
Msichana huyo...
Naona kuna kashobo flani ameanza kuniletea na vsms vyake vya Ajabu Ajabu,
Nimekuja kuuliza ili nisifanye mistake au kupata lawama nikimchakata
Cc Zero IQ
Boasting
Being stingy
Jealous
Thinking they are the best
Thinking they are truly loved
They never learn from previous mistakes
Cheaters
Pls don crack over me! This is a personal opinion
Ewe dada mwenye shida ya kuolewa kimbia hapa!
Mkaka nakufata wewe mwenye lengo la kuwa na mwenza njoo tuzungumze PM... sina vigezo mimi
Tukiwaita humu hamtaki mkiitwa na Rwakatale mnakimbia Mob...
Natumai wote tuko kwenye majukumu yetu ya kujenga Tanzania yetu. (Msitushangae wengine tulikuwa tunaijenga usiku side by side na wabomoaji Taifa)
Navojua mimi hakuna kitu kizuri kama umefika home...
Rejea maada tajwa Hapo juu.Mimi ni kijana umri wa miaka kadhaa nipo tu mtaani mkoa mmoja hapa Tanzania.Siku ya Jumamosi iliyopita nilichukua dada poa mmoja nikamlipa then nikapiga bao moja na kwa...
Kama mwenzio ni kifaa na ana kazi nzuri,elimu kubwa hakikisha unatotolesha watoto wa kutosha,lasivyo ipo siku ya kusaga meno huko mbeleni.Kama wewe ni baharia halisi chukua huu ushauri,utakuja...
Natumai mu wazima wa afya,.
Kama tunavyofahamu umuhimu wa maliwato kwa maisha ya binadamu,ili ubinadamu ukamilike huna budi kupata haja ndogo na kubwa na wote 'twajua usipopata hivyo vitu hata...
Mwanaume anakutokea, dada nimekupenda kwanza unaangalia anaendesha gari gani. Wengine wale chokaz mbaya lakini mjini anajivunia sura ambayo ina support kubwa ya make up basi anaona hata kama...
Nina uhusiano na binti mwezi wa pili huu. Awali nilimuuliza kama yupo single akasema ndio sasa juzi ameniambia kuwa ana mume ila walitengana na huyo mwanaume ameenda kwao kuomba msamaha na yeye...
Mchepuko wangu huwa unapenda kutumia maneno haya 'uwe unaacha uroho wewe,kula taratibu...'Akishasema hivyo anasusa kabisa...inakuwa ni wewe unajipimia unavyotaka.Kwa hali hiyo wakuu atakuwa...
Kuwa na bibie mzuri ni sawa na kula chakula kizuri kwa kutumia sahani safi ya udongo inayovutia,na kuwa na bibie wa kawaida ni sawa na kulia chakula kizuri kwenye sahani ya plastiki.Wengi...
Za mwanzo wa weekend wakuu!!!
Maisha ni watu na watu ni maisha.....
Haya tushare pamoja mambo yanayotufanya tufurahie watu wetu wa karibu kabisa tulio nao.....
Tuanze weekend fresh!!!
Binafsi...
Mimi nakumbuka akiitwa Upendo wakati niko form one nilimsindikiza rafiki yangu aende kusex na demu wake gheto la jamaa kufika kule huyo demu kumbe akaja na mwenzake. Wote walikuwa la saba, basi...
Husband wants divorce after wife 'lied' about birth control and got pregnant
Sarah Carty,Yahoo Style UK 18 hours ago
A man claims his wife lied to him about coming off her birth control. Photo...
Mimi sio mwandishi mzuri lakini naomba niende moja kwa moja kwa mada husika. Dhumuni naomba ushauri kwenu wakuu nini cha kufanya.
Mimi nina umri wa miaka 24 (male) nimeanza kazi mwaka huu mwezi...
Wadau habari za asubuhi maana wengine tumeamka na mahangover!
Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna sista mmoja tunapiga nae kazi kwenye mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kwenye kampuni binafsi (ya...
Wakuu habari ya leo.
Ni mwaka sasa tangu moyo wangu umemdondokea huyu binti mrembo,cheusi mangara mwenye figa ya kibanyu halisi.
Na nmeona sasa iwe vyema kupanda levo ya juu na kumweka awe mke...