Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Natumai mu wazima wa afya,.
Kama tunavyofahamu umuhimu wa maliwato kwa maisha ya binadamu,ili ubinadamu ukamilike huna budi kupata haja ndogo na kubwa na wote 'twajua usipopata hivyo vitu hata kwa siku mbili tuu nanga inavyopaa unaweza tamani kufa kwa muda...hii nikuonesha umuhimu wa kupata haja na kuwa na sehemu husika ya kwenda "kuinjooi"
Sasa basi,mimi hii sehemu buana nina ithamini sana hasa kwa kuweka mazingira yake safi,nina hakikisha kuna vifaa vyote muhimu vinavyohitajika maliwatoni kwa ajili ya usafi na dawa za kukata harufu zile za kukera kera....jamani "nyumba ni choo"....
Kwa wale wana-ndoa au wanaoishi na wapenzi wao tuu bila kuwa wameoana,je mwenza wako ana usafi kiasi gani juu ya kutunza maliwato??wengine hawana ustaarabu wakiingia unajua huko lazima ataacha alama za vasco da gama,unamsaidiaje mtu wa hivi au unamwambiaje??je jambo hilo la mwenza wako kutokuwa msafi maeneo hayo wewe unalichukuliaje??maana wengine hata wakienda ndogo tuu maji hawamwagi😫😫lol,.em tusemezane kwa wale wenye "eksipiriensi" ya kuishi na wenza wenye tabia hiyo ya kutojali usafi wa hayo maeneo huwa mnafanya nini au basi tuu mnaingia wenyewe kusafisha na kunyamaza kimya??
~MC~
Kama tunavyofahamu umuhimu wa maliwato kwa maisha ya binadamu,ili ubinadamu ukamilike huna budi kupata haja ndogo na kubwa na wote 'twajua usipopata hivyo vitu hata kwa siku mbili tuu nanga inavyopaa unaweza tamani kufa kwa muda...hii nikuonesha umuhimu wa kupata haja na kuwa na sehemu husika ya kwenda "kuinjooi"
Sasa basi,mimi hii sehemu buana nina ithamini sana hasa kwa kuweka mazingira yake safi,nina hakikisha kuna vifaa vyote muhimu vinavyohitajika maliwatoni kwa ajili ya usafi na dawa za kukata harufu zile za kukera kera....jamani "nyumba ni choo"....
Kwa wale wana-ndoa au wanaoishi na wapenzi wao tuu bila kuwa wameoana,je mwenza wako ana usafi kiasi gani juu ya kutunza maliwato??wengine hawana ustaarabu wakiingia unajua huko lazima ataacha alama za vasco da gama,unamsaidiaje mtu wa hivi au unamwambiaje??je jambo hilo la mwenza wako kutokuwa msafi maeneo hayo wewe unalichukuliaje??maana wengine hata wakienda ndogo tuu maji hawamwagi😫😫lol,.em tusemezane kwa wale wenye "eksipiriensi" ya kuishi na wenza wenye tabia hiyo ya kutojali usafi wa hayo maeneo huwa mnafanya nini au basi tuu mnaingia wenyewe kusafisha na kunyamaza kimya??
~MC~