Shamkware JF-Expert Member Nov 25, 2013 1,740 2,243 Oct 16, 2019 #1 Ewe dada mwenye shida ya kuolewa kimbia hapa! Mkaka nakufata wewe mwenye lengo la kuwa na mwenza njoo tuzungumze PM... sina vigezo mimi Tukiwaita humu hamtaki mkiitwa na Rwakatale mnakimbia Mob kama nyumbu but seriously aje mmoja anaejiamini.
Ewe dada mwenye shida ya kuolewa kimbia hapa! Mkaka nakufata wewe mwenye lengo la kuwa na mwenza njoo tuzungumze PM... sina vigezo mimi Tukiwaita humu hamtaki mkiitwa na Rwakatale mnakimbia Mob kama nyumbu but seriously aje mmoja anaejiamini.
A Arovera JF-Expert Member Nov 19, 2013 10,978 28,492 Oct 16, 2019 #3 Mkuu upepo wa kisulisuli umekutoa wapi?