Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hey.. Nini faida na hasara zake? Tusaidiane kushtuana hapa. Ok ngoja nianze mie: #NILIKUWA HURU Yes nilikuwa sibanwi sana na uhusiano, tukizinguana tunapeana off tukja kukutana tunaswitch on...
0 Reactions
4 Replies
699 Views
Wanajamvi nimekuwa nashauku ya kutaka kuonana na mtu aliyesoma shule twaja hapo juu kwenye miaka hiyo ya tisini.Milima haikutani ila binadamu hukutana
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Mm ninamahusiano na mtu kwa miaka kadhaa sasa!! Kuna wakat alinidukua watsap nikajua nikamtoa!!! Saiv nikiwasiliana na mtu kwa normal call. Lazima anakuja nifikishia ujumbe au kuongea maneno...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi, MIAKA 27 NA KWENDA JUU ni miaka yenye changamoto sana kwa wanawake, kwani katika miaka hii wanawake wengi wasipoolewa hujikuta wakiwa na pupa na mahusiano na matokeo yake kugeuka...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ilikua ni asubuhi, alifungua macho yake taratibu. Akanyosha mkono kumgusa mkewe. Hakukuwa na mtu. Mkewe alikua ameshaamka. Akamsikia kwa mbali mkewe akiimba wimbo huu...
9 Reactions
36 Replies
3K Views
Wakuu bwana yesu asifiwe. Kama heading inavyosoma wacha niende direct kwa topic. Jaman kuna wanawake wavumilivu sana kwenye mahusiano mnaosema wanawake hawa wamepotea hawapo nawapinga huyu shem...
13 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari zenu waheshimiwa wote mliopo humu JF. Bila kupoteza muda naanza na mada straight. Kama ilivyo ada au desturi yetu waswahili tunapokutana popote nje ya mipaka yetu huwa tunaishi ki undugu...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Salaam wakuu? Maisha magumu si utani na kwa wale wenye afueni Mshukuruni Mungu kwa sana msikufuru. Nimekuwa nikifikiria sana ni kwanini sisi wanaume hasa vijana kupata maendeleo ya kiuchumi ni...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nipeni mbinu,nina baiskeli na pia vijisenti vya kumwezesha kumlisha mihogo ya kukaangwa
0 Reactions
5 Replies
1K Views
*DALILI KWAMBA MKEO HARIDHIKI NA UTENDAJI WAKO WA KITANDANI* ...... _Tendo bora la ndoa linatakiwa kuandamana na uwezo wa mawasiliano yaliyo wazi na bila soni. Lakini, ukiwa miongoni mwa wale...
10 Reactions
61 Replies
13K Views
Amani iwe nanyi wadada wote msioolewa Yamkini nayanena haya kama sehemu ya mwanajamii katika kufikisha ujumbe kwenu.Miaka inazidi kwenda na umri nao unazidi kutaradadi wimbi la wadada linazidi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Yeyote anaekupa pressure na kukuongopea kwamba NDOA ndio kilele cha furaha kwa mwanamke ni kwamba anakudanganya..NDOA sio Ultimate happiness kwa mwanamke. My Black sister hauhitaji mpaka NDOA...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Don't confuse the lenght of a relationship with the Strength of a relationship. "Godbless Lema" Jamani kwa wale wenye wake zao halali, TUWAPENDE WAKE ZENU JAMANI HAWA NDIO MARAFIKI ZENUU...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za Jumapili Wadau Niko kwenye Ndoa karibia mwaka mmoja sasa, Mke wangu ni mwajiriwa wa sekta binafsi na mimi niko serikalini, hivi karibuni nimehamishiwa Dodoma kikazi mke wangu yuko Mwanza...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani hiki ninacho enda kushea na nyie ni true story. Nikiwa mwaka wa Pili chuo nilipata girlfriend ila alinizidi mwaka mmoja. Baada ya kama miezi kadhaa tukavurugana basi bana tukawa kama...
2 Reactions
36 Replies
6K Views
Niingie kwenye mada tajwa. Nahitaji mke mwema. Sifa za nimtakaye Awe mwaminifu mwenye nia ya kweli, aliyemaliza mambo ya ujana, aliyetayari na mwenye shauku ya kuanza familia. Umri 26-35...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Niaje wana zengo??? Nimepitia mahusiano kadhaa.Lakini katika katika pitapita zangu kuna baadhi ya wanawake natokea kuwa feel sana.Natia nia ya kudumu nao hata kuoa.Sioni sababu ya kudanganya...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
  • Closed
Mtu anaweza kudhani ni story ya kutunga la la hasha, sina faida kwenye hilo, hiki ni kitu kinatokea kwa mara ya tatu Leo... Mida ileile Baada ya kuota tena Leo, nimesita mno kuweka hili bandiko...
11 Reactions
108 Replies
21K Views
Mke wangu ni mama wa nyumbani ila haeleweki kawa jeuri, ni mtu wa matusi, hajui watoto wanakula nini. Mudacwote yuko busy na simu na mara nyingi anakuwa nyumba ya jirani. Sasa binti yangu wa kazi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…