xng hua
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 3,301
- 5,379
Hey..
Nini faida na hasara zake? Tusaidiane kushtuana hapa.
Ok ngoja nianze mie:
#NILIKUWA HURU Yes nilikuwa sibanwi sana na uhusiano, tukizinguana tunapeana off tukja kukutana tunaswitch on.
#UHURU Hakuna kilichokuwa kinanibana katika mapenzi na hapa ndipo pazito, tuje katika hasara zake.
#MUDA Lupotezeana muda sababu naamini huwezi kujenga uhusiano serious.
#LOVE (KUPENDA) Unaweza ukajikuta unapenda kweli lakini hauwezi kujionyesha ili kulinda uhuru wako.
#UKICHECHE Hes automatic unakuwa malaya sababu haubanwi so unaweza kuwa na mademu kama wote ila kuna magonjwa hapa.
#HEART BROKEN Vipi demu umpendae ambaye mmepeana off ukajua mwenzio ana mtu?
Kwa ufupi tuu ....je wewe unauchukuliaje uhusiano wa aina hiii?
To be honest nimekoma siutaki tena ni baada ya moja ya mademu zangu niliokuwa nampenda sana (ila nilikuwa naficha upendo wangu) kuolewa
Vipi kwa upande wako mdau?
Nini faida na hasara zake? Tusaidiane kushtuana hapa.
Ok ngoja nianze mie:
#NILIKUWA HURU Yes nilikuwa sibanwi sana na uhusiano, tukizinguana tunapeana off tukja kukutana tunaswitch on.
#UHURU Hakuna kilichokuwa kinanibana katika mapenzi na hapa ndipo pazito, tuje katika hasara zake.
#MUDA Lupotezeana muda sababu naamini huwezi kujenga uhusiano serious.
#LOVE (KUPENDA) Unaweza ukajikuta unapenda kweli lakini hauwezi kujionyesha ili kulinda uhuru wako.
#UKICHECHE Hes automatic unakuwa malaya sababu haubanwi so unaweza kuwa na mademu kama wote ila kuna magonjwa hapa.
#HEART BROKEN Vipi demu umpendae ambaye mmepeana off ukajua mwenzio ana mtu?
Kwa ufupi tuu ....je wewe unauchukuliaje uhusiano wa aina hiii?
To be honest nimekoma siutaki tena ni baada ya moja ya mademu zangu niliokuwa nampenda sana (ila nilikuwa naficha upendo wangu) kuolewa
Vipi kwa upande wako mdau?