Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,754
Unamdate mwanamke kwa mapenzi yako unaamua kumsomesha,kumfungulia biashara.baadaye mnashindwana unamwua au kumjeruhi.
Huo ni upumbavu.kama unamsaidia msaidie tu siyo kutuletea misiba ya kipumbavu. Wakati unaamua kumsomesha au kumpa mtaji mlikuwa na makubaliano gani? Kuwa akija kukuacha utamwua?
Basi ni bora muwe mnaandikishana mikataba kabisa kuwa nakusomesha ukija niacha au ni cheat nakuua.naye aseme sawa.
otherwise msomeshe dada yako,kaka au wadogo zako,mzazi wako au mtu baki.hatutaki misiba ya kujitakia.umeamua asome acha asome afunguke akili. Kashafunguka kagundua humfai.why ulazimishe mapenzi?ameshapata akili mwache aamue anachotaka. Inawezekana haukuwa chaguoa sahihi.
Huo ni upumbavu.kama unamsaidia msaidie tu siyo kutuletea misiba ya kipumbavu. Wakati unaamua kumsomesha au kumpa mtaji mlikuwa na makubaliano gani? Kuwa akija kukuacha utamwua?
Basi ni bora muwe mnaandikishana mikataba kabisa kuwa nakusomesha ukija niacha au ni cheat nakuua.naye aseme sawa.
otherwise msomeshe dada yako,kaka au wadogo zako,mzazi wako au mtu baki.hatutaki misiba ya kujitakia.umeamua asome acha asome afunguke akili. Kashafunguka kagundua humfai.why ulazimishe mapenzi?ameshapata akili mwache aamue anachotaka. Inawezekana haukuwa chaguoa sahihi.