mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Wengine bado hatujaoa, lakini tunayoyaona juu ya wake za watu yanatisha kwakweli kiasi kwamba tunajiuliza mara mbili mbili yuu ya kuingia katika hii tasnia (ndoa).
Ukisema kijana unajiepusha na uzinzi dhidi ya wake za watu, basi wenyewe watakutafuta kwa udi na uvumba. Na kwa mwanaume kama mimi mzee wa kasumba kwakweli sivumii kumuona mke wa mtu ana dalili zote za kutaka kugegedwa nami.
Nimeshuhudia (leo hii) nikiwa geto nimekaa, mpangaji mmoja wa kiume ambaye ni mpya hapa nyumbani akiingia ndani kwake na mke wa jamaa ambaye namfahamu kwa sura kabisaaa. Duh! nikasema kweli dunia ina mambo sana.
Nikavuta picha kama ni mke wangu hapo ndo nimesafiri labda au niko kazini halafu ananizunguka na mtu mwingine kweli jama...
Aisee nilikuwa na wazo la kuoa lakini naona matumaini yanazidi kufifia kunako akili yangu tukufu.
WITO:
1. Ndugu zangu mnaojishughulisha na ukataji wa mkaa ongezeni juhudi katika kazi yenu. Biashara yenu itazidi kukua na mtatoboa.
Ukisema kijana unajiepusha na uzinzi dhidi ya wake za watu, basi wenyewe watakutafuta kwa udi na uvumba. Na kwa mwanaume kama mimi mzee wa kasumba kwakweli sivumii kumuona mke wa mtu ana dalili zote za kutaka kugegedwa nami.
Nimeshuhudia (leo hii) nikiwa geto nimekaa, mpangaji mmoja wa kiume ambaye ni mpya hapa nyumbani akiingia ndani kwake na mke wa jamaa ambaye namfahamu kwa sura kabisaaa. Duh! nikasema kweli dunia ina mambo sana.
Nikavuta picha kama ni mke wangu hapo ndo nimesafiri labda au niko kazini halafu ananizunguka na mtu mwingine kweli jama...
Aisee nilikuwa na wazo la kuoa lakini naona matumaini yanazidi kufifia kunako akili yangu tukufu.
WITO:
1. Ndugu zangu mnaojishughulisha na ukataji wa mkaa ongezeni juhudi katika kazi yenu. Biashara yenu itazidi kukua na mtatoboa.