Habari zenu.
Natafuta mwanaume ambae endapo atakubaliana na hali yangu kimaumbile aweze kuwa Mchumba wangu na baadae awe Mume wangu.
Mimi ni mwanamke kamili isipokuwa ni She-Male yaani nina...
Habari!!
MIMI NI MWANAUME WA MAKAMO.
NAISHI DAR ES SALAAM.
UMRI WANGU,NAKARIBIA MIAKA 50.
NINA UREFU WA FUTI 5 NA INCHI 7(SM 170).
MAJI YA KUNDE.
MWEMBAMBA.
Nimejitokeza hapa kutafuta mwanamke...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kiume, Miaka 30. Graduate, nimeajiriwa serikalini. Naishi DSM. Dini yangu ni Muislam, mimi ni mstaarabu na nina hofu ya Mungu. Sijawahi kuoa wala sina mtoto...
Hello wadau. Husika na Habari hapo juu
Natafuta mwanamke anayejielewa
-Awe angalau Maji ya kunde au mweupe WA asili no mkorogo
-Mrefu kiasi tuu, asiwe mfupi sana, maana mimi ni mrefu kiasi
-Akiwa...
Naitwa Joseph naishi na VVU nna miaka 32, naishi Mbeya ni mfanyabiashara, mkristo na mcha Mungu elimu yangu diploma na sina mtoto.
Natafuta msichana mkristo miaka 24-28 mkristo na mcha Mungu...
Kwenye simu yako ya mkononi, mchepuko wako wa kike/kiume umeuandika jina gani ili mmeo/mkeo asiutambue? Mimi nimeupa jina BOSS WANGU, tena akipiga simu nikiwa na mke wangu, wakati wa kupokea...
Habari zenu
Ni kijana wa miaka 26 anamtafuta that one lady,my queen,la'azizi kitulizo cha moyo wangu.baada ya kukaa mda mrefu bila mahusiano yoyote kutokana na maswahibu mbalimbali ya...
Natamani kupata mdada umri (18+
Sifa.
Uwe single
Usiwe na HIV
Mwenye malengo
Uwe umemaliza form four +
Rangi yeyote
Urefu wowote
Uwe na pesa au hauna haijalishi
Uwe unapenda kugegedana
Mcheshi...
I am goodlooking professional guy in his early twenties, I am looking for a openminded lady in dsm to have a discreet relationship with them over the weekends with no string attached and no cash...
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ni mtumishi wa serikali nimerudi tene kwenu wanaMMU Natafuta mchumba na baadae kuwa mke. Ningependa awe na vigezo vifuatavyo
...mkristo dhehebu lolote..akiwa...
Nina miaka 35 mkristu wa madhehebu ya RC. Nina mtoto mmoja wa kike 7 aged na naishi IRINGA. Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo
. Awe mkristo wa dhehebu lolote ila kama ni islamic asiadhiri maisha...
Habari zenu wana JF? Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu. Nimeamua kutafuta mke ili niachane na maisha ya ubachela(Senior bachelor).
Sifa za mke ambaye Napenda niwe nawe ni kama ifuatavyo:-...
Mimi natatizika sana na haya maneno au labda yote hapo sawa..bila MTU akitamka au nkilisoma katika ujumbe
Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja"
Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa...
Asalam alykum
Mimi ni kijana (29) niko Arusha muajiriwa nahitaji mchumba wa kuoa.
SIFA
1. Muslim
2. Umri chini ya miaka 30
3. Unashughuri ya kukuingizia kipato
Nichek pm serious
Nimedhamiria kwa dhati, natafuta mke wa kuoa na kuishi naye.
Naitwa Hensley nina umri wa miaka 46, rangi yangu maji ya kunde, ni mnene kidogo, mrefu wastani, elimu yangu shahada Ua uzamivu, ni...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, naishi mkoa wa Dar es Salaam.
Nakuja hapa kwa mara ya kwanza,
Natafuta/Nahitaji mwanamke mwenye umri wa kuanzia miaka 21 mpaka 25 ambaye yupo tayari tuwe...
Wapendwa mimi ni mgeni humu nakatika sifa zenu nyingi.
Nimeona nijaribu kutafuta bahati yangu.
Mimi ni mwanadada mwenye umri kuanzia 26-28 ni mlutherani.
Nimhitimu katika chuo cha veta.
Tofauti na...
I am looking for a person who will give me company and i want a man who is good in heart,understanding,who will love me and respecting me .
I want someone who is charming lokes jokes and love to...
Natafuta mchumba lakini awe na vigezo vifuatavyo;
1. Awe na umri kuanzia miaka 20- 25 tu.
2. Awe anajua kusoma vizuri na kuandika.
3. Awe anajua kupika vizuri na kufua vizuri.
4. Awe msafi kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.