Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari wanajf. Kichwa cha habari kipo wazi hapo.Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32.Natafuta msichana/mwanamke awe mpenzi na hatimaye awe mke wangu.Awe mrefu kiasi,asiwe kibonge,umri...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habarini wakuu,, Niende mojakwamoja kwenye mada Ni kweli kwamba wanawake ndoto yao kubwa huwa wanawaza kuolewa Yani hilo hata halina mpinzani wanawake siku zote wanawazaga katika fikira zao kuwa...
5 Reactions
98 Replies
7K Views
Jamani najisikia kufanyiwa massage hebu naombeni mnisaidie sehemu gani hapa dar,iwe yenye Bei nafuu tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ninajisikia nifanyiwe massage leo naomba mnisaidie sehemu nayoweza kupata huduma Bora na kwa Bei ya kawaida, plz Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Wadau, Niko kwenye mchakato wa kudivorce na nimehamishiwa hapa Dar kikazi, natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani aliye makini ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Habar wakuu , Daah leo nataka tu share faida na hasara na kufanya tendo la ndoa kila sku Binafsi nimekua mfuasi wa daily sex siwez kukosa hata sku moja bila ya sababu zisizoepukika Wazungu...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Nina hitaji mwanaume wakujenga nae maisha mwanaume mwenye miaka kati ya 29-37,dini awe mkristo,awe na kazi au biashara,pia awe ni mtu alie serious kweli,endapo ana watoto asiwe na watoto zaid ya...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
Habari, mm ni mwanaume umri miaka 25 natafuta mpenzi wa like umri 20-24 awe anatokea iringa ili iwe rahisi kuonana., mm nipo Iringa. Namba yangu 0768448352 mengine tutaelekezana inbox Sent using...
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Wazima humu Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila...
39 Reactions
289 Replies
28K Views
Habari zenu Kijana mwenzenu baada ya kuona umri wazidi kuyoyoma na nguvu bado zipo nimeamua kutafuta ubavu wangu ili tuweze kuyajenga tuwe na familia(maisha yenyewe mafupi haya) Sifa zangu...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuja kuwa mchumba na hatimaye mke wangu ila atakayeweza kuridhika na huu ukweli wangu wa kimaisha kwa sasa. ni kwamba kwa sasa sina kazi wala pesa kwani nimetoka...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyosomeka Hapo Juu ...., Naitaji Mwanamke Ambaye Yupo Serious And Not 4 Joke SIFA ZANGU Nina Miaka 26 Muisilamu Mjasiliamari Elimu: Nimeishia Ngaz cheti SIFA ZA...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habar,,, Kwa kuanzia tu, toka nijiunge humu huu ndio Uzi wangu wa Kwanza na nimejifunza mengi Sana toka niwe member humu, Leo nimekuja na ombi moja tuu, baada ya Kuwa na mahusiano mengi...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Habari wana JF Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV. Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management. Natafuta mwenza...
5 Reactions
88 Replies
10K Views
Mimi ni binti wa miaka 26,ninaishi na VVU natafuta mume wa hali yangu awe mkristo 29-35 mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.Mimi ni mrefu,mweupe kiasi na Nina bachelor. Sent using Jamii Forums...
6 Reactions
65 Replies
8K Views
Kwa mara nyingine nakuja mbele zenu wadada nikiwa na ombi lile lile: Natafuta mwezi wa maisha. Sifa zake - Awe mrembo / mzuri sana. Hapo sina-compromise aisee. Kama sio mzuri pita mbali. - Rangi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nahitaji msichana ambaye tutaingia ktk mahusiano ya mume na mke. Sifa za anayehitajika -mkristo -umri asizidi miaka 25 -awe hajawahi kuzaa -awe mzuri, (mbaya wa sura na shepu atanikinai mapema)...
0 Reactions
93 Replies
7K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ninaishi na virusi vya ukimwi natafuta msichana mwenye hali kama yangu awe mke wangu dini awe mkiristo,umri usizidi 25. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyosomeka Hapo Juu ...., Naitaji Mwanamke Ambaye Yupo Serious And Not 4 Joke SIFA ZANGU Nina Miaka 27 Mkristo Mjasiliamari Elimu: Nimeishia Ngaz cheti SIFA ZA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vipi ladies wa Dodoma. Naitwa Godson ninatafuta girlfriend wa kunisapoti kwenye maisha ambaye ikiwezekana baadae atakua mchumba wangu na nitamwoa. Ninataka kuwa milionea mkubwa na safari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom