Habari wanajf.
Kichwa cha habari kipo wazi hapo.Mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 32.Natafuta msichana/mwanamke awe mpenzi na hatimaye awe mke wangu.Awe mrefu kiasi,asiwe kibonge,umri...
Habarini wakuu,,
Niende mojakwamoja kwenye mada
Ni kweli kwamba wanawake ndoto yao kubwa huwa wanawaza kuolewa
Yani hilo hata halina mpinzani
wanawake siku zote wanawazaga katika fikira zao kuwa...
Wadau,
Niko kwenye mchakato wa kudivorce na nimehamishiwa hapa Dar kikazi, natafuta msaidizi wa kazi za nyumbani aliye makini ambaye anaweza akasaidia pia kazi anazofanya mke akiwa nyumbani...
Habar wakuu ,
Daah leo nataka tu share faida na hasara na kufanya tendo la ndoa kila sku
Binafsi nimekua mfuasi wa daily sex siwez kukosa hata sku moja bila ya sababu zisizoepukika
Wazungu...
Nina hitaji mwanaume wakujenga nae maisha mwanaume mwenye miaka kati ya 29-37,dini awe mkristo,awe na kazi au biashara,pia awe ni mtu alie serious kweli,endapo ana watoto asiwe na watoto zaid ya...
Habari, mm ni mwanaume umri miaka 25 natafuta mpenzi wa like umri 20-24 awe anatokea iringa ili iwe rahisi kuonana., mm nipo Iringa. Namba yangu 0768448352 mengine tutaelekezana inbox
Sent using...
Wazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila...
Habari zenu
Kijana mwenzenu baada ya kuona umri wazidi kuyoyoma na nguvu bado zipo nimeamua kutafuta ubavu wangu ili tuweze kuyajenga tuwe na familia(maisha yenyewe mafupi haya)
Sifa zangu...
nahitaji rafiki wa kike ambaye atakuja kuwa mchumba na hatimaye mke wangu ila atakayeweza kuridhika na huu ukweli wangu wa kimaisha kwa sasa.
ni kwamba kwa sasa sina kazi wala pesa kwani nimetoka...
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyosomeka Hapo Juu ...., Naitaji Mwanamke Ambaye Yupo Serious And Not 4 Joke
SIFA ZANGU
Nina Miaka 26
Muisilamu
Mjasiliamari
Elimu: Nimeishia Ngaz cheti
SIFA ZA...
Wakuu habar,,,
Kwa kuanzia tu, toka nijiunge humu huu ndio Uzi wangu wa Kwanza na nimejifunza mengi Sana toka niwe member humu, Leo nimekuja na ombi moja tuu, baada ya Kuwa na mahusiano mengi...
Habari wana JF
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 26. Ninaishi na HIV.
Ni mfupi wa wastani, sio mweupe wala mweusi. Ni mkiristo, ndo nimemaliza diploma ya records management.
Natafuta mwenza...
Mimi ni binti wa miaka 26,ninaishi na VVU natafuta mume wa hali yangu awe mkristo 29-35 mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu.Mimi ni mrefu,mweupe kiasi na Nina bachelor.
Sent using Jamii Forums...
Kwa mara nyingine nakuja mbele zenu wadada nikiwa na ombi lile lile: Natafuta mwezi wa maisha. Sifa zake
- Awe mrembo / mzuri sana. Hapo sina-compromise aisee. Kama sio mzuri pita mbali.
- Rangi...
Nahitaji msichana ambaye tutaingia ktk mahusiano ya mume na mke.
Sifa za anayehitajika
-mkristo
-umri asizidi miaka 25
-awe hajawahi kuzaa
-awe mzuri, (mbaya wa sura na shepu atanikinai mapema)...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 ninaishi na virusi vya ukimwi natafuta msichana mwenye hali kama yangu awe mke wangu dini awe mkiristo,umri usizidi 25.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyosomeka Hapo Juu ...., Naitaji Mwanamke Ambaye Yupo Serious And Not 4 Joke
SIFA ZANGU
Nina Miaka 27
Mkristo
Mjasiliamari
Elimu: Nimeishia Ngaz cheti
SIFA ZA...
Mambo vipi ladies wa Dodoma.
Naitwa Godson ninatafuta girlfriend wa kunisapoti kwenye maisha ambaye ikiwezekana baadae atakua mchumba wangu na nitamwoa. Ninataka kuwa milionea mkubwa na safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.