Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habarini wana jf wote hususani mliopo kwenye ukurasa huu wa love connect Moja kwa moja nizame kwenye maada Nina umri wa miaka 28 elimu nimehitihu shadaha ya kwanza(degree) Dini ni mkristo pia...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wasalaam wana JF. Ninataka kuoa. Baadhi ya sifa zangu mimi:- - Elimu ya Chuo kikuu - Miaka 34 - Kazi nzuri - Ni mpole kiasi, lakini mkali sana ukinichokoza Mke ninayemtaka awe na sifa...
10 Reactions
60 Replies
8K Views
Natafuta mchumba badae awe mme,na mungu akibariki tufunge ndoa kanisani, sifa awe mkatoliki,yaani Romani Catholic, asiwe na mtoto, asiwe aliwahi kuoa, awe na miaka 32 na kuendelea, anayejiheshim...
11 Reactions
105 Replies
11K Views
Umri Wang miaka 32. dini mkristo .ni mfanyakazi? nahitaj mke awe mrembo.dini mkristo .umri 23 hadi.28 .awe mwenye kujiheshimu .ambaye Yuko serious anicheki pm
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Hi Everyone. hope you are fine. Just looking for nice people to talk to . I careless less where you came from to me it doesn't matter all are welcome.
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Yan mwanaume mwenzio anaweka Uzi wake anatafuta maybe rafiki ...chakushangaza wanaoponda n wanaume pia tena mshaanza kutumia viwembe... ...nlitegemea kuona wanawake wakikoment na hata kama n...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ningependa kuchukua wasaa huu kuwajulisha wana love connect kwamba ninatafuta rafiki wa kike ambaye baadae tukijaliwa nitapenda awe mke wangu na mimi niwe mume wake. Sifa zangu kwa ufupi ni kama...
7 Reactions
83 Replies
7K Views
kipepe JR. mbele yenu waungwana. once again! ebana kwanza niwashukuru waliolianzisha jukwaa hili, kwani ndio walionifanya sasa nimempata 'wife material' siku chache zilizopita, niliweka bandiko...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Upweke mbaya sana, marafiki wa kike ninao, mtaani wasichana wapo ila bado sioni kama nina watu sahihi. MIMI: Kijana wa kiume. Mkristo. Mweusi, mrefu kiasi. Sina kazi ya kudumu wala biashara ila...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari yenu ndugu jamaa na marafiki mliopo ndani ya Jf., Nia na madhumuni ya kuandika uzi huu, nihitaji la msingi kabisa ambalo kila binadamu aliyekamilika lazima alitimize. Mim ni mhitimu wa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani wana JF, Mimi ni mara yangu ya kwanza kuleta mchango humu ndani kutokanna na upya wangu katika majukwaa haya. Ni mwanamke wa miaka 28. Ni mwezi wa sita sasa sina uhusiano kutokana na...
12 Reactions
91 Replies
11K Views
Mchumba baade aje kuwa mke anahitajika. Sifa zake.. Umri miaka 22--35 Kabila lolote Makazi-Dar es salaam Akiwa mnene itapendeza zaidi Rangi yeyote Elimu kuanzia kidato cha 4 Mrefu au mfupi vyote...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Sina la kusema, Asante JamiiForums narudia tena asante JamiiForums you are great ooh! Mpaka nitaongea kichaga sasa Aikaa JF! Guys JamiiForums is real if you are 100% real basi una fungu lako kama...
11 Reactions
67 Replies
6K Views
Hello my name is John am stay in Dar es salaam. Am search for girl who can be my friend first and later if God wish we can move to another level. She should be free of herself,age 25 and above...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nahitaji kuwa na rafiki mmoja wa kike umri usizid 30 years mwenye focus nzuri ya kimaisha na mwenye kuona mbelee..!! Km uko interested nichek kwa 0652835872
1 Reactions
2 Replies
905 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 nipo afrika ya kati nafanya biashara natafuta mchumba nyumbani tz Sifa zake 1.awe anajielewa 2. Awe mkristo 3.ata km Ana mtoto 1 sio mbya maana ata mimi ninae.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii! Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!! Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana...
2 Reactions
66 Replies
8K Views
Aslm alykm natafuta mke wa kuowa awe na umri kati ya miaka 30 hadi 25 umri wangu miaka 36 dini muislam na yeye awe muislam kabila asiwe mchaga tabia nzuri hata kama ana mtoto mmoja sio mbaya alie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wale waliozaliwa siku hii ni watu wenye nguvu ambao mara nyingi huwa na wasiwasi na kusaidia jamii kufanikiwa kwa kutekeleza mabadiliko ambayo yatasaidia au kuwajulisha umma. Watu hawa wenye...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama mnavyo fahamu nafsi nyonge nahitaji mtu wa kuanza nae mapenzi tujaliwe tufike sehemu nzuri kwenye penzi letu Mimi Miaka 28+ Graduate nimeajiriwa pia nimejiajiri Naishi DSM na ni mzaliwa wa...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Back
Top Bottom