Mimi ni kijana mwenye umri kati ya miaka 24_28.Natafuta mchumba ambaye yuko tayari aje tuyajenge tuanze maisha.
Kwa kuwakumbusha tu, sina nyumba wala gari, aje tuanze kuyajenga kwa pamoja...
Umri wangu miaka 28,
Mimi ni mkristo
Nahitaji mwanamke wa kuoa umri wake ni miaka 20
Hadi miaka 26 awe mrembo na anayejua wajibu wake kwa familia pia mcha mungu sichagui kabila dini ila asiwe...
Nipo dar kikazi na kimakazi nahitaj mwanamke mkweli awe mnene na mpenda kujiendeleza. Umri kuanzia miaka 25 wangu miaka miaka 49 namba Zangu 0789353455
Masharti haya hapa
»Awe tayari kufunga ndoa nami mapema iwezekanavyo ikibidi wiki ya pili au ya tatu baada ya kukutana. Sitaki maswali kwa hili nina sababu zangu.
»Awe mstaarabu, wale wa macho...
Habari zenu wana jukwaa hili la mapatano;
Nimekuja kwenye jukwà hili niweze kumtafuta Mwanadada anae jiheshimu, msafi na yupo tiar kwa mahusiano ya ndoa kwa "baadae kidogo tu"
Nina miaka 31 na...
Nina miaka 27 ni mkazi wa dodoma kabila langu ni msukuma
Nahitaji sana kuwa na mke sema nahofia sana kipato changu kidogo
Nina biashara mbili za nguo kila biashara moja inaniingiza mapato ya...
habari za muda huu tafadhali nisiwachoshe sana Bali niende straight to the point.Lakini nikili tu kwamba sio mzoefu sana katika uandishi kwaiyo nitakosea sana na muonapo makosa nisahiisheni ndugu...
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo.
1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea,
2: Awe anajitambua
3: Awe anaweza kuongea kiingereza
4: Awe anajua kupika na msafi
5...
Kwa heshima na uadilifu najitokeza hapa kumtafuta mwanamke mwenye ugonjwa wa virusi vya maambukizi ya ukimwi kiukweli,ili awe mke wangu wa maisha yote!!Mimi ni mwanaume wa miaka kati ya 47 na...
Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji mwanamke aje kuwa mke wangu wa maisha mwenye hali kama yangu.
*Sifa zangu ni..
1. Mwajiriwa na nimejiajiri ili kuongeza kujikimu zaidi.
2. Mrefu wa...
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....
Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na...
I’m pretty easy going, down for whatever. I have a huge heart, and I care a lot about people. I’m an open book, ask me whatever. I have a passion for knowledge. I have a passion for teaching. I’m...
Mimi nipo dar na nahitaji mwanamke mwenye umri wa miaka 25 hadi 60 kwa mahusiano ya dhati. Umri wangu ni miaka 49 na nipo serious with a true love tuwasiliane kwa namba 0784615578.
Hahari wana jamvi natumaini mko poah naomba Ushauri wenu kuna bint nilikuwa na mahusiano naye toka niko mkoa mwaka 2009 tuli tulikuwa na mahusiano sasa ilipofk mwaka 2010 niko fom two bro wangu...
Ndungu wana Jamvi nimeleta kwenu uzi huu ili tuweze kuuchambua, natumai humu wamo walioowa na wanaotarajia kuoa. Hapa utajifunza
Mke wangu mimi ni darasa la saba, mimi nimemaliza chuo kikuu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.