Umempata...Habari, natafuta mume ambaye yupo tayari kupendwa kwa dhati ambaye ni muaminifu na yupo tayari kwa mahusiano ya kweli.na umri wa miaka 26..
mkuu, mbona unataka nasa mtego wa tisi?mimi nipo tayari, napatkana dar, kwa maelezo zaidi nicheki pm
Habari, natafuta mume ambaye yupo tayari kupendwa kwa dhati ambaye ni muaminifu na yupo tayari kwa mahusiano ya kweli.na umri wa miaka 26..
Tatizo umri umeenda nimekosa nafasi hiyo.Habari, natafuta mume ambaye yupo tayari kupendwa kwa dhati ambaye ni muaminifu na yupo tayari kwa mahusiano ya kweli.na umri wa miaka 26..
Hapa nadhani sasa ni muda wangu wa kutangaza nia ili 2020 isinipite.Habari, natafuta mume ambaye yupo tayari kupendwa kwa dhati ambaye ni muaminifu na yupo tayari kwa mahusiano ya kweli.na umri wa miaka 26..
Anasema yeye anamiaka 26,kwaiyo jiongeze kiakili hapoMume wa miaka 26.?!
Kila la kheri maa