MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kama unajijua una hizi sifa kiuhalisia nakukaribisha....
Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com
Ahsanteni.
Mcha Mungu sana na unaishi Kimungu na una Hofu nae
Kipaumbele chako siyo Hela, Mali au Kazi kubwa kwa Mwanaume bali ni Utu, Uaminifu na Upendo
Huna Dharau kwa Mwanaume ambaye hana Kipato au unamzisi Kipato
Mvumilivu mno na uko tayari Kushirikiana nae au Kumpambania katika Maendeleo yenu
Huna Unafiki na una Ubinadamu mkubwa ndani ya Roho yako na Moyo wako
Uko tayari Kupima VVU/UKIMWI zaidi ya Hospitali tatu tofauti na kila Mtu atachukua majibu ya mwenzake
Unajua Kupika, Msafi sana na humbagui Mtu kwa sababu ya Dini yake au Kabila lake
Siyo Mroho na Mchoyo
Mwenye Huruma hasa pale ukiona kuna Wanadamu wengine wanahitaji msaada
Unaweza Kumbadilisha Mwanaume Kitabia na Kumuongoza vyema kabisa
Unaweza Kuishi Maisha yoyote yale yawe ya Shida na Raha kama yakitokea
Kwa aliye tayari namkaribisha kuanza Mawasiliano nami kupitia Email ya muyinzitasumba@gmail.com
Ahsanteni.