Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Sichagui kabila,rangi,elimu wala dini! 0657496629 for someone willing
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kama kichwa cha habari kilivo, JF kuna watoto wazuri bhana, kuna mtoto mmoja nmebahatika kujuana nae vizuri, msiulize kama nshonana nae au bado, kiumri naona tunakarbiana, mtoto kaumbika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Saalam kwenu wana jf ,wakuu nimechoka kua single nina mtafuta mrembo mwenye uhitaji kama wangu umri kuanzia 28 -38 alieko tayari njoo dm mengineyo mengi tutayajadili ukisha weka contact dm
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kichwa cha thread kinajieleza ,Mimi ni kijana wa miaka 28 nahitaji msichana mwenye umri sawa ama chini na umri wangu tuanzishe mahusiano.Niko single kwa miezi mitatu baada ya kuachana na mpenzi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni Kijana mchapakazi, mjasiriamali aliyeenda shule ya kutosha na mwenye mtazamo chanya kimaisha. Nahitaji mchumba wa kweli mwenye shahada ya sheria (Advocate). Aliyeko tayari ani PM tutawasiliana
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin. Sifa za huyu...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30, ni mkristo nimeajiriwa serikalini elimu yangu ni degree moja Natafuta mke umri kuanzia miaka 17 mwisho 25. Awe mkristo wa dhehebu lolote isipokua msabato wa muislam...
2 Reactions
83 Replies
6K Views
Habari, Kama wewe ni mdada mrembo ambaye unahitaji mtu wa kukuliwaza, kampe, story + outing kukutoa stress na kukufanya uwe na Furaha na kujua dhamani yako naomba PM tuongee zaidi, NB: sio kwa...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Wadada mmekua na tabia ya kuwabania sex baadhi ya wanaume ambao unais ni chaguo lako, ili akuoe. Yaani unabana kumpa mzigo kisa ukimoa unaisi atakutema, nshakosa wadada watatu. Yaani...
0 Reactions
3 Replies
804 Views
Ewe mwanaume kuwa na maumbo makubwa ni sifa ama ulimbukeni naomba kujua Wanawake mnawaharibu watoto wa kiume kama mnapenda madude makubwa naomben mlizike Na vile mungu alivyoumba Kila sehemu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu habarini! Natafuta mchumba mwenye vigezo vifuatavyo. 1. Awe mweupe 2. Umbo namba nane 3. Tako liwepo la kawaida yaani lisizidi sana wala kupungua sana. 4. Elimu kidato cha nne mpk degree...
0 Reactions
0 Replies
936 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 mwajiriwa katika private sector ninatafuta binti wa kuchumbia ili baadae awe mke wangu wa maisha. Sifa za binti Awe mcha Mungu, Amemaliza kidato cha nne na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jukwaa kma heading inavoonesha natafuta serious mwanamke mwenye hio age sifa asiwe na mume tu, na uwe na pesa sitaki vizinga me ni kijana wa 24yrs, nimechoka na mapenzi ya hawa mabinti bora...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hellow nahitaji marafiki wa kubadilishana mawazo ikiwezekana tujenge undugu kabisaa, jinsia yyt. Umri wwt ,naamini katika kukutana na watu vingi tunajifunza. PS Wale wa kusema mtaani kwenu...
15 Reactions
87 Replies
7K Views
Sichagui jinsia wala kabila
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Sichagui dini kabila wala rangi...umri kuanzia miaka 18 mpk 35
3 Reactions
96 Replies
8K Views
Jamani mi mgeni humu natafuta mchumba Arusha mjini mweupe mnene kias mrefu,awe nakazi au hana its ok mi mwenyew nimejiandaa nipo serious sitanii,umri wangu 33 years elimu dip Nina ksz ya kipato kidogo
0 Reactions
16 Replies
47K Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza,mimi nikijana mwenye umli 36 natafta mchumba wa kike,haijalishi nidinigani Jambo muhimu awenimuelewa mkalimu asiye nagubu nazaidi ya yote asinipenda Sana ila...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Hello forums. Chat and Talk
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom