Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Message…nimerudi tena msinichoke maisha ya mahusiano naona ikuumbiwa mm ila kuwa mama ni baraka natafuta mwanaume mkaka mbaba mwenye watt lakn hayupo na.mama watoto wake anaeitaji kusaidiana...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
I am a Tanzanian girl young age and HIV positive, Pure Christian. Natafuta mwanaume HIV+ ambaye nitaishi nae kama mchumba wangu na baadaye tutafata taaratibu za ndoa. Naishi na wazazi Kigamboni...
0 Reactions
24 Replies
9K Views
  • Closed
Hello wana Jf Mimi ni mgeni humu japo ni mwenyeji nimekuwa nikifatilia JamiiForums kwa muda ila leo nimejiunga rasmi haswa kwasababu ya post hii Kiufupi mimi ni mwanamke wa miaka 27 mkristu mrefu...
5 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28 Ninaishi Dar Es Salaam. Natafuta mwanamke mwenye sifa zifuatazo: * Mrefu asiwe mfupi sana * Awe na umri kati ya miaka 18 hadi 25 * Awe hajazaa * Awe...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Mimi ni mume mtrajiwa Umri 42 Urefu futi 6.2 65kg Maji ya kunde Naishi na kufanyakazi temeke/dar Elimu-degree -Nina hasira japo fupi -Nina katabia ka kug'ang'ania -wakati mwingine ni mchokoz...
3 Reactions
33 Replies
5K Views
...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau mambo vp...NajitokeZa apa Kutafuta Mchumba ambae badea kama mambo yakikaa sawa Aje kua Mke wangu kipenzii...Me ni Mtumishi wa umma, Umri wangu ni 26.....Sifa za Ninaemtafuta ni umri ambao ni...
1 Reactions
3 Replies
749 Views
Habari za muda huu wapendwa! Niende moja kwa moja kwenye dhumuni langu, nipo hapa kutafuta mume yaani mwanaume ambaye tutaanza nae urafiki kisha mahusiano Mungu akijalia tuwe mume na mke SIFA...
3 Reactions
53 Replies
7K Views
Habari zenu mimi ni mwanamke wa miaka 32 narudi tena kwa mara nyingine nahitaji mchumba/ mwanaume ambaye ni HIV+ sifa zifuatazo: Awe: mwanaume Umri:33-36 Awe: amejiajiri/ kuajiriwa Awe: tayari...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Jamani wiki zijazo naelekea Zanzibar nitakaa huko wiki mbili,kama mjuaavyo ni ngumu kukaa bila sex muda wote huo kwa mwanaume so kwa Zanzibar nitpata wapi wauzaji papuchi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi kijana miaka 26 Natafuta mchumba miaka 22 - 28 Awe mkazi dar es salaam If interested come inbox
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Husika na heading, nahitaji mwanamke (fiance) anayejielewa vyema kuanzia umri wa miaka 22 , elimu sio kigezo sana, kuanzia form 4 akiwa anajua hesabu kiasi itakuwa vyema. Usiwe mfupi, maana...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mamboz. Natafuta rafik wakike wa kubadilishana nae nawazo, life sharing experience in defferent stuffs n others. AGE kunzia 18 Miak yangu ni 26. If ur intrested my pm ipo wazi.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Awe mnene kias mweupe,umri miaka 24 mpaka30 umri wangu 32 Nina kazi ya kuniingzia kipato msomi kidogo km upo tayar please PM
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwanza niweke wazi mimi ni miongoni mwa binadamu waliokamilika kila idara “Perfectionist”, so sinaga habari hovyo, mimi mambo ni clear huwa sikosei. I’m a serious guy, focused and faithful to GOD...
1 Reactions
78 Replies
6K Views
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25 Natafuta Mwanaume mwenye Hali Kama yangu.kama unauhitaji wa mtu Kama Mimi plz pm mengine tutajuana mbele ya safari
8 Reactions
72 Replies
8K Views
Mimi ni mwanamke miaka 27 nipo Dar es salaam naishi namaambukizi nya VVU natafuta mume wa kunioa mwenye hali kama Yangu miaka29 mpka34 awe na afya nzuri awe amejikubali awe mkristo awe tayali...
6 Reactions
31 Replies
6K Views
Kama heading inavyoeleza hapo juu Sifa zangu Kijana wa kiume 27yrs Mrefu Nimeajiriwa Christian Muaminifu Upendo wa kweli Sifa za ninaye muhitaji Msichana Umri 20-26yrs Awe anashughuli ya kufanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Niingie kwenye mada tajwa. Nahitaji mke mwema. Sifa za nimtakaye Awe mwaminifu mwenye nia ya kweli, aliyemaliza mambo ya ujana, aliyetayari na mwenye shauku ya kuanza familia. Umri 26-35...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Nahitaji marafiki wa kuchat, kushea nao mawazo..nina upweke! Wawe umri wowote Au kama una group la whatsapp lenye mambo ya maana niunge. Ni hayo tu Aggy
15 Reactions
167 Replies
17K Views
Back
Top Bottom