Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi
3. Mwenye...
Mimi ni kijana mwenye miaka 25 Ningependa kupata msichana mwenye sifa zifuatazo:
1. awe muislam
2. Awe na mwili wa kawaida si mnene awe na urefu wa wastani maji ya kunde rangi
3. Mwenye...
Habari ,
Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu, awe muislam, mkweli, mwaminifu...
Habari ,
Naitwa Saidi, natafuta mchumba ili tufike kwenye ndoa. Mchumba ninayemtafuta awe mwenye umri kuanzia miaka 23 hadi 25. Awe na elimu ya chuo kikuu au form six, awe muislam, mkweli...
hallo jf, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 naishi mwanza natafuta binti wa kuoa mwenye sifa hizi mrefu wastani,maji ya kunde,asiwe mnene sana,mcha mungu.na awe anafanya kazi.kama yupo...
NYOTA YA PUNDA NA MIZANI
Mpate mpenzi siku ya Ijumaa kwenye sherehe za ngoma saa 3 au saa 9, vaa nguo rangi mbili juu nyekundu chini njano. Mshike mkono mara kwa mara, hakikisha mnakula kabla ya...
On BEHALF of my dear good FRIEND naomba kutuma maombi ya sperm donor....
Vigezo
Formost::::God fearing
1.Msomi (Geek)
2.Good looking (this is subjective so u will have to send ur picture ili...
Jamani wanajamvi!
Mimi ni mdau na mchangiaji mzuri wa maada mbalimbali hapa jamvini,
Kadri cku zinavyosonga mbele najikuta nafurahishwa sana comments za "madame x" mpaka naanza kutaman walau...
Ninamchumba sinamuda nae mrefu ninamiezi nae3 ndani ya miezi hii aliniforce ili alete barua kwe2 nikamruhusu. Nikackia kumbe alikuwa na mwanamke kampa mimba nikajamuuliza kakubali kama alikuwa nae...
Mimi ni mwanaume,miaka 28,mkristo na SIKO tayari kubadili dini au kuwa na ndoa ya mseto, ni mrefu, mweupe,siyo mwembamba wala mnene, elimu yangu ni chuo kikuu, nina kazi inayoniwezesha kula na...
Hi everyone,
:A S 465:Iam a man aged twentieth looking for a mature young woman for a friendship. The girl that Iam looking for should be a graduate in any discipline, at the age of 20 to 27...
mimi ni mwanaume ninaishi dar nimeamaliza chuo kikuu kwa sasa ninahitaji mpenzi,rafiki wa karibu vyovyote vile but i need serious relationship kwa umbile ni mrefu, mweusi,kwa yeyote atakayekuwa...
Mimi ni mwanaume wa miaka 25 natafuta msichana wa kuanzia miaka 17-23 awe anajielewa urefu wa kawaida rangi ya kawaida awe simple kuhusu elimu haijalishi sana lakini cha msingi awe na elimu ya...
mimi ni mwanaume 27yrs,nahitaji mwanamke wa kuwa nae na baadae awe wife awe chini ya miaka yangu,dini yoyote ila mimi nakula kitimoto!sharti apatikane dodoma na awe free kuonana nami!
NATAFUTA MPENZI"
1.AWE MZURI
2.AWE MSAFI
3.AWE NA HESHIMA KWA WATU WOTE
4.TABIA NZURI
5.ASIPENDE PESA
6.AWE NA MIAKA ISIZIDI 20
7.AWE MVUMILIVU
8.AJUE KUPENDA
9.SICHAGUI HALI..MASKINI AU WAKISHUA...
Mimi ni kijana wa kiume natafuta rafiki wa kike (sio mapenzi) kwa ajili ya kushauriana na Kushare mambo mbali mbali ya kimaisha. Ni vyema rafiki huyo akawa na umri kati ya miaka 18-25 na elimu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.