SINGLE RASHID
Member
- Nov 8, 2012
- 71
- 15
mimi kijana wa miaka 32 mwenye elimu ya chuo na kazi natafuta mwanamke Wa umri huo aje tufanye maisha awe na kazi au biashara....dini muisilamu na siangalii urembo ila ajiheshimu...aliyetayari ani PM,
kaka nipo serious na hili tena wala usiwe na hofu si kulelewa ni kumpata anayehitaji kama kuna unayemjua nipe contact zake mkuummh mdogo wangu unataka kulelewa mapema hivyo? eti awe ana kazi au biashara wewe mwenyewe unatafuta kazi, makubwa haya.