Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari jf team. Nimechoka na maisha ya upweke. Finally, nimeamua kufanya maamuzi magumu kwa mustakabali wa future yangu na familia ambayo Mungu atanibariki. Natafuta MWANAMKE ambaye anahitaji...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
Awe muislamu Umri 20-30 Hajawahi kuolewa kama ana mtoto asizidi mmoja kabila lolote lile. Elimu kuanzia kidato cha nne kuendelea. Sifa zangu Umri 33 Mtumishi serikalini Sijawahi kuoa Mengine...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Hello! Jf family I'm looking for matured women to start a new life chapter with. I'm Christian, 35 yrs with one kid, if you're interested and you're 24 -30 yrs please leave a message in...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
NATAFUTA MKE UWE UNAISHI DAR UWE KABILA LOLOTE KASOLO MUHAYA UWE MKRISTO KAMA SIO KUAJILIWA UWE UME JIAJILI UMRI 25_32
8 Reactions
105 Replies
4K Views
Habari za saa hizi. Mimi ni kijana naishi dar. Umri 32. Natafuta mwanamke kwa nia ya uchumba tukienda sawa awe mke. Awe anaishi dar Umri 20-36 usizidi zaidi ya hapa. Aelewe thamani ya...
0 Reactions
4 Replies
683 Views
Nahitaji Mke Sifa awe na degree ya pharmacy Awe na umri wa kuanzia 30 – 37 Akiwa Muislam itakuwa poa zaidi Awe anajitambua Nimeweka hiyo sifa kwa kuwa natamani ahudumie watu upande huo hivyo...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nahitaji mwanamke HIV positive, umri 23-30, haijalishi kabila na elimu, ikitokea ana mtoto asizidi 1.
3 Reactions
2 Replies
435 Views
A/alleikum Naitwa Bakari Hamisi mkazi wa Dar es salaam. Umri 32 miaka. Kazi: Muajiliwa (Electrical engineer) Natafuta mchumba ambae atakuja kuwa mke kama tukiridhiana Sifa Uwe Muslim Elimu yoyote...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Ni maamrisho ya Mungu,ni lazima muoane,msidanganywe na hadaa za walimwengu
1 Reactions
2 Replies
516 Views
HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI -Mimi ni mwanaume Umri wangu ( 30.... ) -Kazi, Nimejuajili -Makazi : Dar es salaaam SIFA ZA MWANAMKE -Awe anajitambua -Awe Msafi -Awe na upendo wa dhati -Asiwe na...
2 Reactions
0 Replies
441 Views
Wanawake wa JF, Husika na mada tajwa hapo juu. Waziri Mkuu anahitajika kwa minajili ya kuisimamia serikali ili kuleta amani, upendo, furaha na maendeleo ndani ya familia ambayo Mungu atatujalia...
6 Reactions
28 Replies
1K Views
Nina 30 years ,degree holder ,christian ,one child,,am still fighting for life (hustler) kama kuna mtu(mwanamke ) ambae ana 24-30 yrs dini yoyote ambaye atanifata nilipo (christian) njo tuoane...
2 Reactions
6 Replies
641 Views
Mimi ni: Kijana: 35 Sija wahi kuoa: Sina mtoto: Mjasiria Mali: Nina shahada ya kwanza. Niko, Ilala, DSm. Sina kitambi , mrefu wa wastani. Dini : mkristo. Sifa za mke mtarajiwa Awe: Mzima wa...
11 Reactions
117 Replies
4K Views
Habari JF, Mara nyingi humu ndani mtu akiandika kitu anaonekana hayuko serious, Juzi nimeweka Uzi apa nimesema kuwa nahitaji mchumba lkn watu wakatania tania tuu sikupata hata mumoja, Kuna...
6 Reactions
38 Replies
2K Views
Jinsi: Me, Umri: 28, sina mtoto, sijawahi kuoa. Kazi: Mwalimu, Muandishi. Makazi: Moshi (kwa muda), Imani: Mkristo, Sifa: Mweusi, Mrefu, .... 'Naamini Mke mwema anaweza kupatikana hapa pia '...
5 Reactions
71 Replies
4K Views
Nahitaji mke awe na umri kuanzia miaka 30 -48. Mimi nina umri wa miaka 44. Awe mkristo na mwenye kumcha Mungu. Elimu kuanzia Diploma na kuendelea.
2 Reactions
0 Replies
446 Views
  • Closed
Namshukuru Mungu mimi nilipata mume hapahapa JF ndoa tumefunga na nina mtoto mmoja na mume wangu siku nitaanzsha uzi hapa nlvomuadithia rafiki yangu n a yeye akanituma nmtumie maombi yake... Yeye...
7 Reactions
36 Replies
3K Views
Natafuta mchumba ambae, anaye elewa maisha mvumilivu kwa kila Hali, mwenye hofu ya Mungu, mchapakazi ili tukiwa pamoja tujenge si sio kuvurugana. Umri wake 25-29 Nipo Kilimanjaro Moshi mjini...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Umri ni miaka 26 ninatafuta mchumba(ke)akiwa na miaka 24 hadi 30 itakuwa safi na itapendeza kama utakuwa morogoro au dsm
0 Reactions
9 Replies
713 Views
Jamani,kila mtu na vipaumbele vyake. Natafuta mke kiportabkr lakininawe na tako.Elimy kuanzia form 4 angalau. Awe na mtoto au laa,mm sina shida.Dm me
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom