Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hi,wanajamvi namtafuta rfk yangu kpnz anaitwa vivian anakaa Arusha Mianzini na anafanya kaz NGOs mwembamba mrefu mweupe na ana dada yake anaishi Upanga dar kama ameuona ujumbe huu au kunamtu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini...
14 Reactions
147 Replies
13K Views
jimama linaloishi tanga lini-PM kwa mapenzi ya kuibia na ya kiutu uzima. Awe tayari kupima ngoma na STDs kabla ya malavidavi.
2 Reactions
15 Replies
3K Views
wana Jf tuwe makini na Kina Maria Roza
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Achani kujidanganya kwa vi2 ambavyo vko wazi,wewe kama ni muumini mchumba utampata kanisani/msikitini iweje leo uje utafute humu jamvini?tena humjui ingawa umeweka vigezo unavyovipenda lakni...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Hi you all happy valentine. I am trying hook up my friend with a blinddate. She is a very nice lady she has a daughter she is 5"9 caramel, nice body very smart, she doesnt smoke, drinks...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Natafuta wa mwanamke wa kuchati nae ukiwa safi nicheki 📥 nikupe namba it real bored here. Mimi ni late 20's, nipo DSM, Open minded and So. Ukuwa na upright wa 20's being good, ukuwa DSM impressive...
0 Reactions
7 Replies
465 Views
Nimechoka kuhangaika na masharobaro kwani ni kero tu 1. Hawajui kujali 2. Hawajui mapenzi 3. wanapenda kutunzwa Nataka mume wa mtu mwenye uwezo wake na pia anaependa familia yake na kuijali...
7 Reactions
117 Replies
13K Views
Habarini wadau wote wa JF mimi kijana wa 25-26 nataka mwana dada 18-24 wa kuoa mwenye elimu yeyote awe na biashara au kazi yeyote mjanja wa towm hapa dar es salaam mimi form 4...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Napenda kuwashauri wote mnaotafuta wachumba jf ni ngumu sana kumpata m2 unae weza kwendana nae akili. Wengi wao tayari wameshaumizwa hivyo kila mtu wanamchukulia na kumuhisi kama anaweza tenda...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
mimi ni mwanamme mwenye miaka kamili elimu yangu inatambulika tanzania mchumba awe na sifa zifuatazo; 1 mpenda watu 2 above 18 yrs 3 moderate tall 4 elimu ni mengineyo 5 awe na life skills 6 awe...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hbr wanajamvi kama kunamdada aliye zaliwa 08/02/1980 mpaka sasa hajapata mme basi anipm na shaka aondoe amempata ila baadaye ntahitaji uthibitisho asante siku njema
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nina 23yrs, natafuta mwanaume ambaye tutakuja kuwa mwili mmoja. Awe Mkristo dhehebu lolote, asiwe na mke sipendi wizi na asiwe sharobaro kwani mimi sio cster duu!. Kwa maelezo zaidi nipm.
4 Reactions
42 Replies
7K Views
Natafuta rafiki wa kike mgomvi, mbishi, mtukutu, mtata, mkakasi, halafu awe mbaya sana. Mwenye sifa Nipm.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
I am single christian woman of 29 yrs, employed and chagga by tribe looking for a single christian man ageing 33 - 35 to develop a relationship with and eventually hatch into marriage ,preferably...
5 Reactions
42 Replies
5K Views
Sina sharti lolote wala siangalii kigezo chochote ili mradi uwe na pesa. Asanteni Madame B
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu wanajamvi, naimani mwaendelea salama kabisa na majukum yenu ya kulijenga taifa hili la Tanzania ili lifikie uchumi wa kati kufikia mwaka 2020-2025. Nisiwe na...
0 Reactions
1 Replies
615 Views
Asalaaam aleykum mm n kijana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye umri wake uwe kuanzia 18 had 30 HV mm najishughulisha na ufugaji ila yey shughul c lazma mm n mrefu wastn fut 5.5,maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanawake wa kikristo shida ipo wapi?
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Back
Top Bottom