jamani naomba mnisaidie me nimeishiwa na huyu mdada maana toka nilipomueka wazi hakuwahi hata cku moja kunisalimia nikimpia cm hapokei msg hajibu mwaka wa 2 mpaka nimekata tamaa lakini kama atatokea mwengne akinipenda nami nitamuenzi na kumpenda na kumtunza vizuri
me naishi zanzibar mtaa unaitwa mpendae
hakuna kitu hcho ni baadh tu ya wanaume mm cjawahi kuwa na mpnz ila nikimpata atafurah daily coz nitamtunza kadri niwezavyo
una miaka mingapi? kabila gani? unaishi kwa baba na mama au kwako? nyumba yako au umepanga? unamtoto wa nje au uliwahi kuoa? unafanya kazi wapi? nijibu hayo machache tafadhali?jamani naomba mnisaidie me nimeishiwa na huyu mdada maana toka nilipomueka wazi hakuwahi hata cku moja kunisalimia nikimpia cm hapokei msg hajibu mwaka wa 2 mpaka nimekata tamaa lakini kama atatokea mwengne akinipenda nami nitamuenzi na kumpenda na kumtunza vizuri
me naishi zanzibar mtaa unaitwa mpendae
napenda niseme ukweli naish kwa wazazi cjawah kuwa na mpnz acha kuoa nina miaka 20 kazi ndo kazi maana naiendea mbiouna miaka mingapi? kabila gani? unaishi kwa baba na mama au kwako? nyumba yako au umepanga? unamtoto wa nje au uliwahi kuoa? unafanya kazi wapi? nijibu hayo machache tafadhali?
mm mpemba halisinapenda niseme ukweli naish kwa wazazi cjawah kuwa na mpnz acha kuoa nina miaka 20 kazi ndo kazi maana naiendea mbio
jamani naomba mnisaidie me
nimeishiwa na huyu mdada maana toka nilipomueka wazi hakuwahi hata cku
moja kunisalimia nikimpia cm hapokei msg hajibu mwaka wa 2 mpaka
nimekata tamaa lakini kama atatokea mwengne akinipenda nami nitamuenzi
na kumpenda na kumtunza vizuri
me naishi zanzibar mtaa unaitwa mpendae
mmmm duh bado mdogo sana miaka 20 unataka kuoa mbona unataka kuwapa wazazi wako ulezi na kujitia stress? soma kwanza wake hawaishi..........napenda niseme ukweli naish kwa wazazi cjawah kuwa na mpnz acha kuoa nina miaka 20 kazi ndo kazi maana naiendea mbio