Mbona Mke sipati

Mbona Mke sipati

golden pride

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2014
Posts
847
Reaction score
435
Wakuu heshima zenu
Ni muda mrefu sasa namtafuta mwenza bila mafanikio.Wakuu naombeni msaada wenu wa hali na mali
Nawasilisha
 
Inawezekana hupati labda unaonekana sio mume aliye tayari kwa majukumu. Wadada kibao wanatafuta ndoa, Iweje ukose?
 
Inawezekana hupati labda unaonekana sio mume aliye tayari kwa majukumu. Wadada kibao wanatafuta ndoa, Iweje ukose?

Mkuu mi nipo tayari kwa majukumu na tayari nimejipanga kwa hilo.Ila cjamuona mwenzangu bado.Kwasasa hilo ndo jambo linalonichanganya sana.Nipo tayari kuishi na mke ila sharti awe muslim, la sivyo awe tayari kubadilisha kuwa muslim.Aliyetayari asiogope kunipm.
 
yawezekana ukawa hauna sifa za kuwa mume

Mkuu najiamini, nina sifa za kuwa mume wa mtu.Mke wangu atafurahi kuwa na mume bora kama mimi.Namshukuru mwenyezi Mungu najielewa nini nifanye kwa ajili ya mke wangu na familia yangu kwa ujumla.
 
Mpeni nafasi mwezenu nyie warembo msioolewa mwezenu apate jiko nafsi yake itulie
 
Unatafutaje? Wapi unakotafuta?
Nimejaribu maeneo ninayotoka na maeneo niliyo kwa sasa.Kusema kweli bado cjabahatika kumpata mwenza wangu.Kwa nature ya kazi yangu kwa sasa inakuwa ni vigumu kwani muda mwingi nakuwa kazini
 
Mkuu najiamini, nina sifa za kuwa mume wa mtu.Mke wangu atafurahi kuwa na mume bora kama mimi.Namshukuru mwenyezi Mungu najielewa nini nifanye kwa ajili ya mke wangu na familia yangu kwa ujumla.

Okey good for you
 
Mkuu najiamini, nina sifa za kuwa mume wa mtu......
Sio kweli.
Manake umeshashindwa kuwaona dada zetu wazuri wake bora kabisa wamejaa tele na ukathubutu kupeleka posa kwao.
Inawezekana umekosa ujanja.
Kwa ushauri muombe mzazi au kaka au dada au jamaa wa karibu unaemuamini akushauri na kukupa jicho la ziada. Utawaona tu wako wengi sana.
 
Sio kweli.
Manake umeshashindwa kuwaona dada zetu wazuri wake bora kabisa wamejaa tele na ukathubutu kupeleka posa kwao.
Inawezekana umekosa ujanja.
Kwa ushauri muombe mzazi au kaka au dada au jamaa wa karibu unaemuamini akushauri na kukupa jicho la ziada. Utawaona tu wako wengi sana.

Sio kwamba hawapo, wapo wengi sana, ila kwa mazingira niliyopo sasa inaniwia vigumu kuchangamana na watu.Nadhani umenielewa mkuu
 
Back
Top Bottom