Habari wa kuu, samahan mm nina maswali yafuatayo ninaomba nielimishwe hivi ni yupi anaepaswa kulipia gharama(mahari,pete ya uchumba,nauli ya kwenda na kurudi kama wanaishi mbali,na huduma ndogo ndogo) zote mpk kufikia ndoa baina ya wachumba wawili wenye malengo ya kuoana, namanisha msichana na mvulana?