Mwanaume wa maisha yangu

Mwanaume wa maisha yangu

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
habari zenu wapendwa
nadhani si mara yangu ya kwanza kujitokeza mele yenu na kuomba ombi hili,nakumbuka hii ni mara ya tatu, nia yangu ni kupata mpenzi wa roho,mwanaume tutakae match tabia,mwanaume atakae jali hisia zangu
mimi ni muislam,ninamiaka 21
nahitaji muislam mwenzangu age yake 27 -30
kama upo interested na mimi waweza ni pm
 
Mimi ni mnasara, ila naweza kujali hisia zako na kukutunza kama mke wangu. Nifikirie mama
 
mashaallah allah akujalie umpate mume atakayekuongoza katika mema na awe muislam kamli.pia aitie barka ndoa hiyo iwe ya heri inshaallah atakujalia upate alichokuandalia.
 
Back
Top Bottom