UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Jamani mimi ni mvulana fulani natokea pande fulani. Natafuta binti wa kubadilishana mambo kadhaa.
SIFA ZAKE.
*Awe amepitia kwenye maswala ya mapenzi.
*Awe tayari kuulizwa swali lolote, nami nipo tayari kumjibu swali lolote.
*Umri wowote ila anitajie umri wake
Aliyetayari mlango wa PM upo wazi, tupeane mawasiliano zaidi.
SIFA ZAKE.
*Awe amepitia kwenye maswala ya mapenzi.
*Awe tayari kuulizwa swali lolote, nami nipo tayari kumjibu swali lolote.
*Umri wowote ila anitajie umri wake
Aliyetayari mlango wa PM upo wazi, tupeane mawasiliano zaidi.