Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi nina umri wa miaka 31 nataka rafiki wa kike tuwe tuna chat.
0 Reactions
0 Replies
926 Views
Hello, wizzy hapa natafuta rafiki wa jinsia yeyote. Mimi ni mwanaume, 30 ninafanya kazi. Graduate wa chuo wa shahada ya fedha na benki. Ninapenda kuogelea, muziki, kusafiri, kwenda mbugani, kuwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kiume mwenye urafiki wa kweli miaka 29-35 asitoke nje ya Dar es salaam, mpenda maendeleo na anayejitambua. Aliyetayari ani mp,
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu, nimekuwa lonely kwa muda sasa, hivyo natafuta mwanaume wa kuchat nae umri kuanzia 39-43, awe single tafadhali. Aliye tayari ani PM.
1 Reactions
30 Replies
13K Views
Natafuta mwanamke mlokole ambaye baada ya kuridhika atakuwa mke,umri ni kuanzia 27 had 34.na hatakiwi mwenye mtoto zaidi ya mmoja ila ambaye hazai atapewa kipaumbele. Aliye tayari anipm
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Umri wangu ni miaka 29, mkristo,elimu chuo, nimeajiriwa na niko morogoro. Nimtakae umri 30-34,awe mkristo, mwajiriwa au mjasiriamali. Mengine tutafahamiana zaidi. Kwa PM kwa anae hitaji.
0 Reactions
43 Replies
9K Views
Habari wana Jamii forums. Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa. Yeye ni mkristo na...
0 Reactions
46 Replies
8K Views
Mimi ni mwanamke wa kuanzia miaka 34-37, mkristo, nina mtoto mmoja, nimeajiriwa, natafuta mwanaume mwenye sifa zifuatazo, awe mkristo, elimu kuanzia form four kuendelea. Awe mwaminifu na mwenye...
2 Reactions
38 Replies
9K Views
Habari zenu wapendwa, Jina kamili naitwa Amos joseph natafuta rafiki wa kike. Ambaye yupo tayari anitext kupitia 0656523688 au 0752852278
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta rafiki wa kuchat nae, mimi ni jinsia ya ke awe na umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea. Kama yupo aniprivate message.
1 Reactions
3 Replies
2K Views
[SIZE=3]I am a male natafuta mke,
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sifa; awe mrefu 150cm-160cm, asitumie kilevi,awe mkristu mkatoliki,maji ya kunde/mng'avu, mwenye umbo na sura yakuvutia plus tabia njema, umri wake 17-21, mimi mweusi, 24yrz , bado naendelea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa ulietayari fursa hii vigezo na masharti kuzingatiwa na mengineyo ni kwa good pipoz tu. Njoo pm tubadilishane mawasiliano.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi, [SIZE=3]Iam a Tanzania man looking for woman who will marry me.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Iam a boy aged 29 looking for a girlfriend. umri 18-27 alie serious ani pm.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Hello Natafuta rafiki wa kike atakayekidhi maudhui ya mada iliyotajwa hapo juu. Sifa zake:- Awe mrefu,mweupe,mrembo,umri kati ya 20-27,awe independent and decisive,awe Shinyanga, Mwenye sifa hizo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Natafuta rafiki mpya wa kunifaa maishani mwangu. Namba yangu hii hapa 0752852278 karibuni
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa aliye serious, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28.Ni kijana wa kikristo mwenye hofu ya Mungu.Elimu yangu ni shahada ya awali. Ni muajiriwa. Natafuta rafiki wa kike popote napendezwa zaidi...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
1.Awe mwanamke 2.umri 18 to infinite 3.Awe na akili timamu 4. Awe mshugulikaji kwenye kutafuta pesa pia awe na malengo na maisha asiwe goalkeeper kwan mimi sioo falcao. 5.Arembo majiyakunde na...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
Habari zenu wanawake Mimi ni mwanaume mtu mzima nina miaka 46,kwa heshima kubwa na nina nia ya dhati kutoka moyoni na upendo wa kweli moyoni mwangu,najitokeza kutafuta mwanamke kwa maisha...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom