Natafuta mwanamke mlokole

Natafuta mwanamke mlokole

inuka uangaze

Member
Joined
Mar 13, 2015
Posts
53
Reaction score
11
Natafuta mwanamke mlokole ambaye baada ya kuridhika atakuwa mke,umri ni kuanzia 27 had 34.na hatakiwi mwenye mtoto zaidi ya mmoja ila ambaye hazai atapewa kipaumbele.

Aliye tayari anipm
 
No mimi sijaokoka Bali nilikuwa nimeoa nikasafiri mda mrefu kurudi nikakuta make wangu ameolewa tena na jamaa mwingine wakati naanza maisha upya nikakutana na Dada mmoja mlikole aliyekuwa na ndoa miaka kumi bila mototo na alienda kwa waganga bila mfanikio akaamua kuokoka.

Tulikutana katika mkutano Nairobi na baada ya muda tukawa wapenzi na akazaa mtoto wa kwanza na baadae akazaa wa pili na kwa kuwa alikuwa na ndoa waliyokuwa wamwtengana ilibidi yule bwana aje kuniomba kuwa anampenda sana yule mwanamke na yupo tayari kuwachukua watoto na kuwalea kama wake.

Ndipo nilipo kubali na kuamua kutafuta mlokole mwingine kwa sababu ya upendo niouona kwake.
 
Ushauri wa bure kwako inuka uangaze ni kumwomba Mola akurudishie mkeo wa kwanza kama mme mwenzako alivyomrudisha mkewe.
 
Last edited by a moderator:
no Mimi sijaokoka Bali nilikuwa nimeoa nikasafiri mda mrefu kurudi nikakuta make wangu ameolewa tena na jamaa mwingine
Bora urudi Jela!

Thread umekopi kutoka kwa hussein machozi na wimbo wake wa bora agende jeila!
 
inuka uangaze

Ndugu yangu mambo mengi yanayoimbwa kwenye nyimbo za mapenzi ni ya kufikirika..humu JF watu wanadeal na real life...karibu tena ukipata cha kuandika chenye mashiko
 
Last edited by a moderator:
capt memo na exel n I have over 40 so ninayoandika hapa nikweli na hao watoto mnaosema wa LA sisikilizÃ-gi mzuki wao so nilikuwa natafuta wanawake na sijajua jinsia zenu hivyo nawaomba mjidadavue kama ndio nilikuwa naeatafuta ingieni pm tuyajenge maisha.
 
no Mimi sijaokoka Bali nilikuwa nimeoa nikasafiri mda mrefu kurudi nikakuta make wangu ameolewa tena na jamaa mwingine wakati naanza maisha upya nikakutana na Dada mmoja mlikole aliyekuwa na ndoa miaka kumi bila motto na alienda kwa waganga Vila mfanikio akaamua kuokoka ndipo tulikutana katika mkutano Nairobi na baada ya mudavtukawa wapenzi na akazaa mtoto was kwanza na baadae akazaa was pili na kwa kuwa alikuwa na ndoa waliyokuwa wamwtengana ilibidi yule bwana aje kuniomba kuwa anampenda sana yule mwanamke na yupo tayari kuwachukua watoto na kuwalea kama wake.
ndipo nilipo kubali na kuamua kutafuta mlokole mwingine kwa sababu ya upendo niouona kwake.

We jamaa akili yako INA mapungufu makubwa sana.......
 
Nenda kanisani utawapata wengi tu then uchague anayekufaa
 
no Mimi sijaokoka Bali nilikuwa nimeoa nikasafiri mda mrefu kurudi nikakuta make wangu ameolewa tena na jamaa mwingine wakati naanza maisha upya nikakutana na Dada mmoja mlikole aliyekuwa na ndoa miaka kumi bila motto na alienda kwa waganga Vila mfanikio akaamua kuokoka ndipo tulikutana katika mkutano Nairobi na baada ya mudavtukawa wapenzi na akazaa mtoto was kwanza na baadae akazaa was pili na kwa kuwa alikuwa na ndoa waliyokuwa wamwtengana ilibidi yule bwana aje kuniomba kuwa anampenda sana yule mwanamke na yupo tayari kuwachukua watoto na kuwalea kama wake.
ndipo nilipo kubali na kuamua kutafuta mlokole mwingine kwa sababu ya upendo niouona kwake.

Sio Bure Unaonekana Unamtindio Wa Ubungo.Tafute Mlokole Akuombee Kwanza Kabla Hujafikilia Wa Kuoa.Unaonekana Unahitaj Deliverance!
 
No mimi sijaokoka Bali nilikuwa nimeoa nikasafiri mda mrefu kurudi nikakuta make wangu ameolewa tena na jamaa mwingine wakati naanza maisha upya nikakutana na Dada mmoja mlikole aliyekuwa na ndoa miaka kumi bila mototo na alienda kwa waganga bila mfanikio akaamua kuokoka.

Tulikutana katika mkutano Nairobi na baada ya muda tukawa wapenzi na akazaa mtoto wa kwanza na baadae akazaa wa pili na kwa kuwa alikuwa na ndoa waliyokuwa wamwtengana ilibidi yule bwana aje kuniomba kuwa anampenda sana yule mwanamke na yupo tayari kuwachukua watoto na kuwalea kama wake.

Ndipo nilipo kubali na kuamua kutafuta mlokole mwingine kwa sababu ya upendo niouona kwake.

hao watoto wako au wa uyo jamaa utakua unaogopa majukumu ya familia if am nt mistaken maana utak kuzaa tena
 
Back
Top Bottom