Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Dame awe mukristo namiaka 18 napia awe xireous
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Iam 21 years old, natafuta rafiki wa kchat nae, kubadilishana nae mawazo, umri wowote tu Kama upo tayari ni PM namba yako. Karibu.
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Tuwasiliane 0672759998
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Mimi ni kijana, miaka 27; nimehitimu UDSM education, nasubiria ajira.Nyumbani mwanza, napenda nimpate mchumba anayeishi Mwanza, napendelea awe black beauty, mrefu wastani, asizidi miaka 25: mwenye...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta rafiki wa kike, awe anajiheshimu, anamawazo ya maisha, sio muhuni wala mpenda starehe za ajabu, awe anapenda kusali na mwenye hofu na mungu, msiri msafi na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
tanzania yetu
0 Reactions
0 Replies
700 Views
tanzania yetuuuu
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Naitwa jaffer chiba ni mwanachuo ktk chuo wa ualimu ninahitaji mpenzi wa kuwa nae awe na umri wa miaka 18 mpaka 22 akiwa tayari utanipata 0758082840. Thanx
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nataka girl frend wakuchat nae tu txt zitajibiwa no 0718173851
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi nikijana mwenye miaka 22 ninatafuta mchumba wa kunipenda kwa dhati nasiyo kuniumiza namba yangu ni 0757042257
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Ni msichana nina miaka24 natafuta mchumba mwenye kazi but except mwalimu awe mkristo.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakubadilishana nae mawazo age 22-26
0 Reactions
0 Replies
951 Views
Ninaomba kama una mke au mpenzi usiniandikie. Maombi yawe kwa kuni pm sipendi iwe hapa sitaweza kujadili. Karibuni kwa urafiki na Kikrsto tu.
0 Reactions
70 Replies
7K Views
[SIZE=3]Mimi nipo Mwanza, nichek na +255689378927
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Natafuta mdada "smart" tupeane mchongo. Sifa: 1. Lazima uwe mrembo. 2. Usiwe umekuja mjini karibuni, sitaki mambo ya kushangaashangaa na kuniulizauliza hata vitu virahisi Lini? This...
3 Reactions
40 Replies
6K Views
Mi ni mwanamke wa miaka 36.Natafuta rafiki wa kubadilishana mawazo.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za weekend Najitokeza hapa kutafuta yule ambaye atakuwa wangu katika shida na raha, mimi ni mfanyakazi kwenye shirika la umma nina shahada ya juu ya uhasibu umri wangu 31, natafuta...
0 Reactions
0 Replies
816 Views
Natafuta mke awe tayari kuishi Mtwara wenyeji wa Mtwara watapewa kipaumbele. Umri chini ya 30 mengine tutaelewana. kama upo tayari njoo pm.
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Habari wanajamvi Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29, niliehitimu chuo kikuu mwaka jana ambae sina ajira,pia natafuta mke wa kuoa ambaye atakua tayari kusaidiana wakati wa shida na raha.Ewe...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Mimi ni mkazi wa Ubungo-Dar es salaam kutokana na majukumu mengi niliyonayo nakosa hadi muda wa kutafuta mwanamke hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuwanae na nikiridhika nae basi nitamuoa kabisa,umri...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom