Denjo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 359
- 118
1.Awe mwanamke
2.umri 18 to infinite
3.Awe na akili timamu
4. Awe mshugulikaji kwenye kutafuta pesa pia awe na malengo na maisha asiwe goalkeeper kwan mimi sioo falcao.
5.Arembo majiyakunde na mweupe kias
6.Awe natural masuala ya kujichubua asiwe amejaribu kabisa
7.Asie mpendaa mawigi
8.Awe na elimu zote kuanzia elimu ya shule na elimu ya maishaa usije na ka GpA kako ka 4 point something alaf kuish na watu "F"
9.Awapende wifi zake kam anavowapendaa dada zake
10Asitumie mtandao mwingne zaid ya Vodacom Tanzania.
Nb:unavigezo ivyoo ni pm nikufanyie interview
2.umri 18 to infinite
3.Awe na akili timamu
4. Awe mshugulikaji kwenye kutafuta pesa pia awe na malengo na maisha asiwe goalkeeper kwan mimi sioo falcao.
5.Arembo majiyakunde na mweupe kias
6.Awe natural masuala ya kujichubua asiwe amejaribu kabisa
7.Asie mpendaa mawigi
8.Awe na elimu zote kuanzia elimu ya shule na elimu ya maishaa usije na ka GpA kako ka 4 point something alaf kuish na watu "F"
9.Awapende wifi zake kam anavowapendaa dada zake
10Asitumie mtandao mwingne zaid ya Vodacom Tanzania.
Nb:unavigezo ivyoo ni pm nikufanyie interview