Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Haijalishi kiwango cha Elimu mimi ni Muhitimu wa Chuo Contacts- 0653325710 And 0689744743
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Natafuta rafiki wa kuchat nae awe umri kuanzia 18 - 25 awe wa kike hata wa kiumee poaa . Lakini wa kike ingekuwa poouwa zaidi.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta rafiki wa kike mwenye umri 18-26, kwa yeyote alie tayari ani pm tafadhari.
0 Reactions
0 Replies
942 Views
Huu si utani ni kweli. Mimi ni mwanaume Kutokana na maisha ya kilokole niliyoyaishi nina miaka 24 sasa na sijawahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote but mwanzoni mwa mwaka huu kuna binti...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Mim n mwanaume wa miaka 27,nahitaji msichana mwenye mapenzi ya dhati,mwenye elimu na dini yoyote. pm ndio itakuwa rahisi kujaana nakupeana namba za simu. Nipo mwanza
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jukwaa ndugu na jamaa. Poleni na majukumu ya kila siku, ila mwenzenu namtafuta aliyetayari kuishi nami kwa shida na raha. Vigezo; -Umri 32-35. -Dini yeyote, tutakubaliana katika hili...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Sina maneno mengi kama ninaavyo someka hapo juu so kama upo tayari Ni PM twende sawa.
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Biz biz biz business business
0 Reactions
0 Replies
685 Views
Nahitaji mwanamke mwenye kujitambua, elimu yeyote kuanzia form four. Kama unasifa hizo please nicheki kwenye pm
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila. Aliye serious anipm...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Yeyote alie tayari anipm niko Dodoma mwalimu Wa secondary serikalini
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Natafuta rafiki wa kike umri kuanzia miaka 18 hadi 25 pia anaweza kunichek whasap kwa namba hizo hizo namba 0713633204
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Iam a boy natafuta mwenzangu tuliwazane, miaka 18-30 although Iam 25.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 29,elimu ni chuo kikuu,ni mwembamba kiasi ni mfupi kiasi alafu ni mweusi. nimtakae awe na umri wa miaka 20-27,elimu yake awe na masters,mweupe,asiwe...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta mwanaume mwenye umri kuanzia 40 hadi 55 nimechoka usumbufu wa vijana.
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Kama wewe ni mdada/mama wa umri huo na unataka kuwa na rafiki wa kiume wa kumwamini Sifa; Awe na Afya njema Awe na kipato chake kizuri atakuwa huru kuwasiliana na mimi na kukutana kwa nafasi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ninaishi na vvu nimetengana mke wangu baada ya kugundua kuwa mimi ni mwadhirika hali yangu ni mzuri huwezi kunitambua kwa macho na ninatumia arv kwahiyo natafuta mwenzangu anu PM awe...
0 Reactions
127 Replies
17K Views
Natafuta mwanamke wa kufunga naye ndoa ,sifa zake awe ni mwisalm pia anayefanya kazi za kujiajiri ama kujairiwa elimu yeyote miaka kwanzia 20 mpka 35, kabila yeyote mimi namika 35 na elimu ya...
0 Reactions
0 Replies
844 Views
Dame awe mukristo namiaka 18 napia awe xireous
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom