Natafuta mwanake wa kuoa

Natafuta mwanake wa kuoa

Account

Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
8
Reaction score
1
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30, natafuta mke wa kuoa, mwenye mapenzi ya kweli, mwenye umri 20-30.

Atayekua tayari ani Pm kwa mawasiliano zaidi

Asanteni
 
Mr Account, account inasomaje kwani?

Kinachooa ni account au ni huyo kijana? Ukihoji account, je ikisoma na kumbe ikawa ni ya Freemason na mlengwa wa kafara ukawa ndo wewe utafanyaje? Naomba tumuelewe kuwa yeye anataka kuoa na si account inayooa.
 
Last edited by a moderator:
Kinachooa ni account au ni huyo kijana? Ukihoji account, je ikisoma na kumbe ikawa ni ya Freemason na mlengwa wa kafara ukawa ndo wewe utafanyaje? Naomba tumuelewe kuwa yeye anataka kuoa na si account inayooa.
Hata kununua fanta tu lazma uwe na hela, kuoa tu harusi lazma uwe na hela, yani ni hela tu
 
Hata kununua fanta tu lazma uwe na hela, kuoa tu harusi lazma uwe na hela, yani ni hela tu

Nikijuacho mm ni kwamba, ugumu na urahisi wa maisha, huja kutokana na mtazamo wa mtu. Hivyo, basi, ninaamini pia kuwa, ni vigumu kumshauri mtu aliyekwishaamua; ingawa ni rahisi sana kumshauri mtu anayetaka kufanya maamuzi.

Barikiwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom