Natafuta mwanaume

Natafuta mwanaume

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
131
Natafuta mwanaume mwenye umri wa miaka 38 na kuendelea
 
Natafuta mwanaume mwenye umri wa miaka 38 na kuendelea

Kwa kazi ipi?
  1. House man?
  2. Shamba man
  3. Gardener?
  4. Mlinzi binafsi?
  5. Mzazi mtarajiwa?
  6. ........................
 
Saitama Kein...kidume cha mbegu JF! Miaka 62....retired but not tired....KARIBU bibie
 
utamaduni wa mtanzania ni mwanaume kumtafuta mwanamke syo mwanamke kumtafuta mwanaume au umeshatumika xana
 
lakini mbona huja fahamika zaidi wewe miaka mingapi ukowapi unaishi vipi uko na watoto wangapi uliolewa au bado kuwa muazi unawezakusikia jambo ukasahau lakini ukifanya huwezi kusahau au ukiona huwezi kusahau maana historia yako unaijua.
 
Hilo tangazo mbona halina details za kueleweka..!

Nawe unakuwa utadhani mgeni jamvini jamaaani..! Funguka vizuri bibie nikuunganishe kwa my brother..! Kila la heri..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom