young eagle
Member
- Jul 28, 2015
- 29
- 4
Habari zenu waheshimiwa,
Nahitaji msichana ambaye nitaweka naye malengo ya mimi na yeye kuja kuwa mke na mme hapo baadae so hata kama bado anasoma(chuo) si vibaya.
Nipo seriuos katika hili na kama upo wewe(binti) utakayekuwa na sifa ntakazozitaja hapo chini usiogope kuni pm kwa upande wangu mimi ni kijana mcheshi,lakini pia ni mtulivu mwenye upendo wa kweli.Kwa yule nitakayempenda si m-babaishaji nikipenda napenda kweli.
Awe na sifa zifuatazo:-
Mkristo,mcha awe na umrikati ya miaka 20-24, Mungu,mtulivu na mpole(akiwa mcheshi pia si mbaya), awe na upendo wa kweli kwangu na kwa ndugu zangu, awe anajiheshimu na kujitunza na mwaminifu na mvumilivu hata akiwa mbali na mimi si mbaya.
Mwenye sifa hizo tajwa hapo juu asisite kuni-PM but awe serious.
Natanguliza shukrani
Asanteni
Nahitaji msichana ambaye nitaweka naye malengo ya mimi na yeye kuja kuwa mke na mme hapo baadae so hata kama bado anasoma(chuo) si vibaya.
Nipo seriuos katika hili na kama upo wewe(binti) utakayekuwa na sifa ntakazozitaja hapo chini usiogope kuni pm kwa upande wangu mimi ni kijana mcheshi,lakini pia ni mtulivu mwenye upendo wa kweli.Kwa yule nitakayempenda si m-babaishaji nikipenda napenda kweli.
Awe na sifa zifuatazo:-
Mkristo,mcha awe na umrikati ya miaka 20-24, Mungu,mtulivu na mpole(akiwa mcheshi pia si mbaya), awe na upendo wa kweli kwangu na kwa ndugu zangu, awe anajiheshimu na kujitunza na mwaminifu na mvumilivu hata akiwa mbali na mimi si mbaya.
Mwenye sifa hizo tajwa hapo juu asisite kuni-PM but awe serious.
Natanguliza shukrani
Asanteni