Habari zenu waungwana,
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba,nahitaji mwanamke aliye seriously,mimi ni mtumishi wa Serikali,sihitaji mwanamke mwenye kazi,ila nahitaji mwanamke nwenye elimu ya kutosha.
Mimi ni Muislam na nnaishi Mwanza,sina mtoto ni vyema nae asiwe na mtoto.Elimu yake aanzie VI na kuendelea,Umri mwisho 23yrs.
Kwa aliye serious anitafute pm
Nimejitokeza humu kutafuta mchumba,nahitaji mwanamke aliye seriously,mimi ni mtumishi wa Serikali,sihitaji mwanamke mwenye kazi,ila nahitaji mwanamke nwenye elimu ya kutosha.
Mimi ni Muislam na nnaishi Mwanza,sina mtoto ni vyema nae asiwe na mtoto.Elimu yake aanzie VI na kuendelea,Umri mwisho 23yrs.
Kwa aliye serious anitafute pm