Kwanza namshukuru mungu kwa kunipa uhai kwa siku ya leo.
Kimsingi niko hapa kuwaunganisha watu wanaotafuta WACHUMBA.
Nimeamua kufanya hivi kwani hitaji la watu ni kubwa humu JF ila kunawatu wachache wanawakatisha tama watu wanao tafuta wachumba humu JFkitu ambacho sio kweli, kumbuka mchumba anaweza kupatikana popote.
HILI uweze kunganiswa mtafutaji anatakiwa azingatie vitu vifuatavo
1. Umri wake na umri wa mt anaetafua
2. Jinsia yake na jinsia anayoitafuta
3. Kazi yake
4. Dini yake na dini ya mtu anayemtafuta
5 Mwasiliano(ni muhimsana
6. Mahali anapoishi
7.Kazi anayofanya
Kwa kuzinata vitu hivyohapo juu,ntakuwa nmeuunganisha kwa mtu anaeedana na wewe
NAWATAKIA JIONI NJEMA NA MUNGU AWALINDE
Kimsingi niko hapa kuwaunganisha watu wanaotafuta WACHUMBA.
Nimeamua kufanya hivi kwani hitaji la watu ni kubwa humu JF ila kunawatu wachache wanawakatisha tama watu wanao tafuta wachumba humu JFkitu ambacho sio kweli, kumbuka mchumba anaweza kupatikana popote.
HILI uweze kunganiswa mtafutaji anatakiwa azingatie vitu vifuatavo
1. Umri wake na umri wa mt anaetafua
2. Jinsia yake na jinsia anayoitafuta
3. Kazi yake
4. Dini yake na dini ya mtu anayemtafuta
5 Mwasiliano(ni muhimsana
6. Mahali anapoishi
7.Kazi anayofanya
Kwa kuzinata vitu hivyohapo juu,ntakuwa nmeuunganisha kwa mtu anaeedana na wewe
NAWATAKIA JIONI NJEMA NA MUNGU AWALINDE