Urafiki, mapenzi finally ndoa

Urafiki, mapenzi finally ndoa

Stanboy

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
1,115
Reaction score
1,324
Hi,
Mdada wa miaka 20-25 ajitokeze haraka,kama vigezo vitatosha tuwe marafiki,wapenzi na hatimaye ndoa..

SIFA ZAKE
1.Awe mzuri
2.Awe mzuri
3.Awe mzuri
4.Elimu yoyote..
5.Asiwe mfupi
na sifa zingine nzuri kwa mwanamke

Njoo PM tutengeneze maisha ya familia yetu na watoto wetu,
 
Hi,
Mdada wa miaka 20-25 ajitokeze haraka,kama vigezo vitatosha tuwe marafiki,wapenzi na hatimaye ndoa..

SIFA ZAKE
1.Awe mzuri (how, uzuri uko machoni mwako mkuu. kuwa SMART)
2.Awe mzuri
3.Awe mzuri
4.Elimu yoyote..
5.Asiwe mfupi
na sifa zingine nzuri kwa mwanamke

Njoo PM tutengeneze maisha ya familia yetu na watoto wetu,

How, uzuri uko machoni mwako mkuu. kuwa SMART
 
How, uzuri uko machoni mwako mkuu. kuwa SMART

Hahahahaa uzuri kwangu unaanzia machoni,
Tabia baadaye...lazima anivutie kwanza mengine yatafuata,na ndio maana nimeweka mzuri mara tatu...wazuri wapo na wanajijua tatizo lako nini?yaani unanifanyia choice hahahahaaa its very ridiculous
 
Hahahahaa uzuri kwangu unaanzia machoni,
Tabia baadaye...lazima anivutie kwanza mengine yatafuata,na ndio maana nimeweka mzuri mara tatu...wazuri wapo na wanajijua tatizo lako nini?yaani unanifanyia choice hahahahaaa its very ridiculous

Sawa mkuu, utapata hao wazuri
 
Hi,
Mdada wa miaka 20-25 ajitokeze haraka,kama vigezo vitatosha tuwe marafiki,wapenzi na hatimaye ndoa..

SIFA ZAKE
1.Awe mzuri
2.Awe mzuri
3.Awe mzuri
4.Elimu yoyote..
5.Asiwe mfupi
na sifa zingine nzuri kwa mwanamke

Njoo PM tutengeneze maisha ya familia yetu na watoto wetu,

nenda shule,umetoloka kidato unaulizwa uzuri gan una jibu sasa tukusaidieje
 
nenda shule,umetoloka kidato unaulizwa uzuri gan una jibu sasa tukusaidieje

Hahahahaaa Elimu niliyonayo probably wewe hujaifikia..halafu mbona inawauma sana jamaani?au nyie mna wanawake wabaya wa vyote?
Poleni sana maana mlikosea kuchagua,acheni nijichagulie kwa mbwembwe zote..
uzuri its abroad term sura,tabia,mwondoko n.k na kwa taarifa yako P.M zinamiminika tu maana wenye sifa hizo wapo wengi so nafanya interview nani nimpe nafasi..
 
Hi,
Mdada wa miaka 20-25 ajitokeze haraka,kama vigezo vitatosha tuwe marafiki,wapenzi na hatimaye ndoa..

SIFA ZAKE
1.Awe mzuri
2.Awe mzuri
3.Awe mzuri
4.Elimu yoyote..
5.Asiwe mfupi
na sifa zingine nzuri kwa mwanamke

Njoo PM tutengeneze maisha ya familia yetu na watoto wetu,

Mm nipo tayali ni-pm ila napenda naniii kubwa
 
Hahahahaaa Elimu niliyonayo probably wewe hujaifikia..halafu mbona inawauma sana jamaani?au nyie mna wanawake wabaya wa vyote?
Poleni sana maana mlikosea kuchagua,acheni nijichagulie kwa mbwembwe zote..
uzuri its abroad term sura,tabia,mwondoko n.k na kwa taarifa yako P.M zinamiminika tu maana wenye sifa hizo wapo wengi so nafanya interview nani nimpe nafasi..

Unaonekana una madharau mjeuri ndo maana hata hao wadada wazuri unaowapata hudumu nao....
 
Unaonekana una madharau mjeuri ndo maana hata hao wadada wazuri unaowapata hudumu nao....

Haya mawazo yako tu ndg yangu,
sina kiburi mie..ila namjibu mtu kulingana na alichotaka
 
Back
Top Bottom