Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 24, urefu 165cm, maji ya kunde, mwili wa wastan, mkristo, elimu yangu kdato cha 6 nimejiajir, naish Dar es salaam Natafuta marafik umri kuanzia miaka 20-30...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
nimejiajiri,niko mid 20's mwanamke napenda kufanya mazoezi ya ni mwemmba kiasi ninamtafuta kwa ajili ya kuwa marafiki tu SIO WAPENZI VIGEZO NIMTAKAE 1.above 28 2.single 3.awe...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Umri wangu ni miaka 45 natafuta mwanamke wa kuishi nae umri kuanzia 30-36 kwa upande wa uchumi ..maisha yangu ni daraja la kati zaidi najishughurisha na kilimo ..napendelea awe mkristo hasa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu, Natafuta rafiki.Rafiki ambaye tunaweza badilishana uzoefu katika maisha na ikiwezekana maisha yetu yote tuwe pamoja katika kushauriana kuhusu maisha kiujumla.Atakayekuwa tayari anitwangie...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
habar nahtj mwanamke awe mzur na mrembo,model. Elimu from diploma to bachelor degree,age:18-25,awe virgin,mkristo,asiwe mfupi wala mnene. Kabila lolote. Aliye tayar anipm
0 Reactions
0 Replies
737 Views
Dini mkristo, umri kati ya 21 na 29, elimu angalau kidato cha nne zaidi ya hapo ni vizuri zaidi awe mwelewa. Mimi Nina miaka 34, mtumishi serikalini pia mjasiliamali nimeoa. Alie tayari tuwasiliane
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina itaji mwanamke miaka28 na kuendelea niweze kuzaa nae Mtoto mmoja njoo pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Husika na Mada tajwa! Mm kijana 24 yrs, Bachelor Degree, Sina kazi(mpka mwakani) Hitajio langu..... Mwanmke 30~38 mnene Muislamu kazi yeyote Nahitaji wa kuzaa na kulea nae Mtoto tu..
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Nahitaji mwanamke wa kufunga nae ndoa awe maji ya kunde au mweupe... Awe msomi wa degree au diploma katika fani hizi ... Engineer,Doctor, Accountant, finance, business Administration...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa wale mabinti wa YESU waliookoka na kumpenda MUNGU na ungetamani kuolewa na Mtumishi wa MUNGU, basi nafasi ndiyo hiyo, naomba uni pm, ukisema jina lako, mahali ulipo, na mahali unapoabudu...
0 Reactions
104 Replies
10K Views
Habari zenu wadau,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24..siku nne zilizopita nilipost thread ya kutafuta girl friend ambaye baadae tutakuwa wapenzi. Ninashukuru kuwa nlifanikiwa kupata dada...
1 Reactions
45 Replies
5K Views
28yo, tall, black, businessman and athletic male looking for a little adventure with a stranger. female between 18-30 must apply with a picture. I will not respond to message with no picture...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Natafuta msichana wa kuchati nae awe mkristo awe anakaa Morogoro au Dar elimu kuanzia form 4. Umri awe kuanzia mika 20 hadi 23. Ani PM nitampa namba ya simu tuwasiliane mimi nipo moja ya chuo...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mm ni kijana nina umri wa miaka30,ki umbo ni mnene hvyo napendelea wanawake vimodo. Nikiwakumbatia huwa najisikia raha sana. Kama wewe ni modo nipm nikufate nikukumbatie.
0 Reactions
1 Replies
865 Views
nashukuru
1 Reactions
27 Replies
4K Views
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Awe mrembo,awe anajitambua,Elimu kuanzia Kidato cha sita na kuendelea,nahitaji mchumba wa malengo badae ndoa endapo Allah akitufanyia wepesi,Umri 18-22,NB awe Muislam Kwa aliye tayari anaweza...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Natafuta rafiki wa kike umri kati ya 18-25 awe na kajielimu form 4 na kuendelea. Anichek 0718557322 kwa maongezi
0 Reactions
1 Replies
838 Views
.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa, Nilijitokeza hapa mwisho wa wiki iliyopita kutafuka marafiki wa kike wa kuchati. Najua wengi watajiuliza kwa nini nimeweka umri wa juu hivyo, ni kwa kuwa, na mimi nina umri unao range...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom