just-imagine
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 374
- 448
Mimi ni kijana umri miaka 23, elimu yangu ni ya chuo kikuu. Natafuta rafiki wa kike mwenye MALENGO na MSIMAMO ambaye tunaweza kubadilishana mawazo, kupanga maisha na baadae MUNGU akijalia tuweze kufunga pingu za maisha.
Umri wake uwe kati ya miaka 18-23, sichagui dini, kabila, rangi wala elimu, ilimradi awe mtu mwenye kuwa na malengo mazuri ili tuijenge nyumba yetu.
KAMA UPO SERIOS NI-PM plasee.
....NB:kwa walio serious tu, kama wewe ni wa utani basi pita pembeni...
Umri wake uwe kati ya miaka 18-23, sichagui dini, kabila, rangi wala elimu, ilimradi awe mtu mwenye kuwa na malengo mazuri ili tuijenge nyumba yetu.
KAMA UPO SERIOS NI-PM plasee.
....NB:kwa walio serious tu, kama wewe ni wa utani basi pita pembeni...