Nitampata mke humu?

Nitampata mke humu?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,289
Reaction score
2,472
Ni kweli natafuta mke sasa. Umri nao umeenda sasa. Kwa masuala ya details yatakuwa kati yangu na huyo atakayeni inbox. Kwa kweli najua wapo wanawake humu wengi tu na wazuri tu ambao kwa namna moja au nyingine wamekuwa unfortunate katika masuala ya mapenzi. Hata mi pia. Wapo wasomi na wazuri tu. Nahitaji nimpate wangu kama ikiwezekana kupitia humu. Umri uanzie miaka 28 hadi 33 hivi. Mkristo (ikiwezekana Mkatoliki) ni vyema zaidi. Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea. Kwa sasa nawasilisha hivyo. Kwa walio serious kweli.
 
Subiria watoke kanisani aiseeee....
Mungu akusimamie katika hitaji lako hili. Sababu ninaamini hao tunao watafuta kule mitaani , ndio hawa tunao pishana nao humu jf.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom