naitwa charles.natafuta rafk wa kike ambae baadae tutaweza jenga mahusiano baada ya kujuana zaidi umri 18-24 awe mcha mungu..mengine yatafuata baada ya kujuana zaidi.aliye tayari ani pm
Hawa ni wake bora ktk maisha.Kama una mdogo,ndugu au wewe mwenyewe njo niende kwenu.Uwe wa mkoa wowote ila upatikane Arusha,Manyara,Kilimanjaro,Singida umri 21-25.PM zaidi
Am in love with these madam.
Salam kwa wote
Ni siku chache zimepita toka niliweka mada nikiwa nataka kujuwa kuwa uwezekano upo au haupo,,,,,pia nashukuru kwa watu walioniita kichaa na kunitukana na walionipa ushauri pia...
Nina mchumba nilimpata humu humu jf ila nahitaji marafiki wa kike kwa ajiri ya kushauriana...kuelekezana kimaisha n.k
Wenye elimu kuanzia STD VII na kuendelea hasa ndio hitaji langu.
Ni pm...
Mimi ni mwanamke, nina mtoto mmoja i am 32, nilitengana na mume kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nimeamua kutumia jf kutafuta mwenza maana walio mtaani ndo hawa hawa walio JF aliye tayari...
Habari wana jf, heri ya cikuku. Ndugu zangu naandika Uzi huu siyo kwa kujifurahisha bali ni kutoka moyoni, Mimi ni kijana wa kiume naishi Dar, Kikazi Nimeajiriwa na taasisi Ndogo ya fetha hapa...
Habari wana jf,
Natanguliza shukulani zangu kwa wana jf wote, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na taasisi moja ya fedha hapa Dar, Nipo serious nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, age...
Kama wewe ni Binti Wenye sifa zifuatazo nakuomba huwe rafiki yangu.
1.umri: miaka 18~21
2.Elimu: kidato cha 6 nk
3.umbo:Asiwe mlefu wala mfupi na siyo mnene wala mwembamba sana
4.rangi:maji ya...
natafuta marafiki wa kuchat nao na pia kukutana nao.. Mim ni kijana wa kiume jina na miaka utaijua pale tutakapo wasiliana no. Ni 0742609771 vodacom...gmail= lucumayi@gmail.com pia natumia fb ila...
Habari wana jf,
Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na kampuni ya kifedha hapa DSM, Nipo serious nahitaji mke wa kuowa, mwenye sifa zifuatazo awe mweusi, mnene wa Kati na Urefu wa wastani, awe...
Habari zenu wana jf
Nimekuwa na mahusiano na madada kama wanne humu na tunachati vizuri sana na kuongea sana hata ikiwepo mipango ya mbeleni ila kinachonishangaza kila tukikubaliana siku ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.